Warts kwa dawa za kumeza ni kipengele nenda hospitali watatumia caustic pencil kuzichoma itasaidia but dawa ya kumeza au kupaka sahau kuponaHabari wakuu,
Yamenikuta mwanaume mwenzenu, katika harakati za kuchepuka nikipiga mahesabu ndani ya miezi hii mitatu nimetoka na wanawake zaidi ya 20. Matokeo niliyoyapata ndio yamenifanya nibaki njia kuu.
Nimepata ugonjwa wa Genital Warts, ni kama vinyama nyama vinatokea kwenye uume, niko naendelea kutumia dawa.
Juzi nilikuwa mkoa wa Kanda ya Juu, nikajifanya malaya wa kutembea na wadada wa buku 10 ovyo, sijaamini nimekitana na gono siyo la nchi hii. Hapa nilipo natumia AZUMA imeisha, nimeamua kuchoma Ceftriaxone.
Wakuu tubaki njia kuu.
Kwa hiyo kama watu wanaumwa Gono wakae kimya wakati tunaambukizwa na wadada wanaojiita pisi kaliKwani hizi nyuzi za kutangazwa magonorhea umekuwa fashooon au Kuna mashindanano?
Jukwaa la ngono piaThread za gono tu ndani ya wiki hizi mbili
Dah Poleni kwa kuumwa gonoKwa hiyo kama watu wanaumwa Gono wakae kimya wakati tunaambukizwa na wadada wanaojiita pisi kali
Wengi wanaojifanya wachakataji ni member wa chaputa tu wanakuja ku fantasize hukuHumu jf huwa kuna ufala flan wa kujazana ujinga ujinga kuhusu kuzini zini bila mpango,ila yakikukuta unaugulia peke yako sasa niwaambie tu wanangu AKILI ZA KUAMBIWA CHANGANYA NA ZAKO.
Wengi wanaojifanya wachakataji ni member wa chaputa tu wanakuja ku fantasize huku
Na wengine Wana magonjwa makubwa makubwa wanataka wajinga waingie mkenge kama waoHumu jf huwa kuna ufala flan wa kujazana ujinga ujinga kuhusu kuzini zini bila mpango,ila yakikukuta unaugulia peke yako sasa niwaambie tu wanangu AKILI ZA KUAMBIWA CHANGANYA NA ZAKO.
π―π€We sema umekutana na balaa lako huko sio etii tubaki njia kuu..!? Ubaki wewe na nani..!!!!?
Hakuna kurudisha majeshi nyuma, lazima tueneze upendo kwa watoto wazuri....
TayariTanesco kamcheki.
πππππππWe sema umekutana na balaa lako huko sio etii tubaki njia kuu..!? Ubaki wewe na nani..!!!!?
Hakuna kurudisha majeshi nyuma, lazima tueneze upendo kwa watoto wazuri....