Wanawake wazuri wamenipa Genital Warts na Gono

Warts kwa dawa za kumeza ni kipengele nenda hospitali watatumia caustic pencil kuzichoma itasaidia but dawa ya kumeza au kupaka sahau kupona
 
Humu jf huwa kuna ufala flan wa kujazana ujinga ujinga kuhusu kuzini zini bila mpango,ila yakikukuta unaugulia peke yako sasa niwaambie tu wanangu AKILI ZA KUAMBIWA CHANGANYA NA ZAKO.
 
Humu jf huwa kuna ufala flan wa kujazana ujinga ujinga kuhusu kuzini zini bila mpango,ila yakikukuta unaugulia peke yako sasa niwaambie tu wanangu AKILI ZA KUAMBIWA CHANGANYA NA ZAKO.
Wengi wanaojifanya wachakataji ni member wa chaputa tu wanakuja ku fantasize huku
 
Humu jf huwa kuna ufala flan wa kujazana ujinga ujinga kuhusu kuzini zini bila mpango,ila yakikukuta unaugulia peke yako sasa niwaambie tu wanangu AKILI ZA KUAMBIWA CHANGANYA NA ZAKO.
Na wengine Wana magonjwa makubwa makubwa wanataka wajinga waingie mkenge kama wao
 
We sema umekutana na balaa lako huko sio etii tubaki njia kuu..!? Ubaki wewe na nani..!!!!?

Hakuna kurudisha majeshi nyuma, lazima tueneze upendo kwa watoto wazuri....
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…