Wanawake wawili ndani ya Hijab wazipiga hadharani barabarani

Mkuu kwani ukivaa hijab huruhusiwi kupigana?
ni kwasabab ni wanafiki wanapenda kuonekana kwa nje ni watu wema. Ndio maana wanatandika mikeka mbele ya kadamnasi kuswali kwani waliswali faraghani mungu wao hawaoni nakusikia maombi yao
 
ni kwasabab ni wanafiki wanapenda kuonekana kwa nje ni watu wema. Ndio maana wanatandika mikeka mbele ya kadamnasi kuswali kwani waliswali faraghani mungu wao hawaoni nakusikia maombi yao
waswalie faraghani wanakuogopa!?..wale walokua wakiswalia mashuleni wakijiliza si wanafiki?!..punguzeni chuki..ni mbaya kwa afya
 
Hawajajilipua na Bomu? Maana hawa Jamaa hatar

Hapana walikuwa wanataka kuoana mmoja akamdandanya mwenzake msikitini watafungishwa ndoa, walivyoenda wakaambiwa haiwezekani jinsia moja kuoana wakitaka inabidi waende kanisani huko wanaweza kufikiriwa ndo huo ugomvi ulivyoanza kwamba mmoja anamtuhumu mwenzake kwa kumdanganya
 
Back
Top Bottom