Wanawake wastaarabu bado wapo

Kila mtu ana vigezo vyake vyake ktk kutafuta ndoa, kuna ambao tunaamini kusubiri ndoa ni propaganda ya kuficha mabaya yako,

halafu kuruhusu kuchunguzwa na ke haijakaa poa mwisho wa siku angekutawala huko mbeleni,

Mtu anaeweza kukuvumilia madhaifu yako ukamkosea, akasamehe na akaendelea kukupenda na kukuheshimu kwa kiwango kile kile huyo ndo mtu sahihi haya mengine ni maigizo tu
 
Mkuu, haya ni mawazo yako na hayana budi kuheshimiwa.

Nimekuelewa kwa sehemu.

Asante.
 
Hakuna wanawake wastaarabu kuna wanawake washamba ukimchukua kwao mshamba akija mjini akijanjaruka anakuwa mjanja

Sent from my SM-N950F using JamiiForums mobile app
 
Ujumbe mzuri, kweli wapo wengi tu.
Ila inaonesha ulikua unamnyenyekea/ ulimpa nafasi kubwa mno...
 
Mimi mwenyewe kuna demu aliniambia yy bikra tusifanye mpaka ndoa nikasema fresh, nikakubali ila yeye hela hizi ndogo ndogo ailikuwa ananiomba.

Cha ajabu akarudi kwa ex-wake na ex-wake hakukaa nae sana ,akampiga chini akataka kurudi kwangu.Nikamzingua kwa kumuuliza "bikra unayo......",hakunijibu akawa anachekacheka "yaani ww......",nikampiga chini na kuendelea na maisha yangu.
 
Mrejesho vipi mkuu 🀣🀣🀣🀺
 
Bikra nyoo πŸ‘πŸ–πŸ— kwioo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…