ndio ipi hiyo wallah natak nka pract sehem hivi mweeeeh jf raha sanWembamba watam sana utasikia wanapga naile style ya baby panda dirishan uidondokee
Sent using Jamii Forums mobile app
Njoo umpe biti huku mahondaw
Na huyo wa pili anaitwa
Asante kwa tagScars embu weka shairi hapa.
hahahaAsante kwa tag
Mjeda naibuka katikati ya mada, mara nakuta washkaji wanabonga kuhusu vimada.../
Scars nyota chafu huyu mwana hapendwi na wadada, sio wanene warefu anachukiwa hadi na wembamba.../
Nifanyeje ili niweze kuwapata Super Villain naomba msaada, hapa nilipo nimedata sielewi ntampataje ledada.../
Nahitaji demu mrembo awe na umbo la kishori, asiwe kicheche muuza utumbo mamende watamla kama mtori.../
Awe na figure na mwendo wa maringo kama kigori, asiwe kibonge mchizi ntakosa stimu ya ku score magoli.../
Awe na record ya kumpiga chaga mtoto wa baharesa, maana akiwa na tamaa na mkushi sina hela atanitesa.../
Sina mkoko awe tayari kupiga ngoko, na matozi wenye vindinga vya kuzuga wakimfata awatusi nyoko.../
Sina viatu daily napeta mitaani kama mpoto, mwambie kabisa kua hali ni ngumu muhuni napitia misoto.../
mwanamke wa ndoto zangu uko wapi tutimize ndoto, huku life tight mumeo naviringa misokoto.../
Nikiwa na stress aje geto na kanga moko, tupeane mambo ya kizungu huku tuki mix na kimombo.../
Kwa mbali naona kuna member kanyosha mkono anataka alopoke, jamani vibonge kaeni mbali ofa hii haiwahusu msishoboke.../
Japo sina hela ila bado nina uchaguzi, mi ni msela ila demu huwezi kunifanya buzi.../
Nadharau sio kinyonge, yani sina hela halafu sitaki vibonge.../
😂😂😂 Ujawahi niangusha mzee wangu, plate namba A chafu 🔥🔥🔥Asante kwa tag
Mjeda naibuka katikati ya mada, mara nakuta washkaji wanabonga kuhusu vimada.../
Scars nyota chafu huyu mwana hapendwi na wadada, sio wanene warefu anachukiwa hadi na wembamba.../
Nifanyeje ili niweze kuwapata Super Villain naomba msaada, hapa nilipo nimedata sielewi ntampataje ledada.../
Nahitaji demu mrembo awe na umbo la kishori, asiwe kicheche muuza utumbo mamende watamla kama mtori.../
Awe na figure na mwendo wa maringo kama kigori, asiwe kibonge mchizi ntakosa stimu ya ku score magoli.../
Awe na record ya kumpiga chaga mtoto wa baharesa, maana akiwa na tamaa na mkushi sina hela atanitesa.../
Sina mkoko awe tayari kupiga ngoko, na matozi wenye vindinga vya kuzuga wakimfata awatusi nyoko.../
mwambie kabisa kua hali ni ngumu muhuni napitia misoto, Sina viatu daily napeta mitaani wana wananiita mpoto.../
mwanamke wa ndoto zangu uko wapi tutimize ndoto, huku life tight mumeo naviringa misokoto.../
Nikiwa na stress aje geto na kanga moko, tupeane mambo ya kizungu huku tuki mix na kimombo.../
Kwa mbali naona kuna member kanyosha mkono anataka alopoke, jamani vibonge kaeni mbali ofa hii haiwahusu msishoboke.../
Japo sina hela ila bado nina uchaguzi, mi ni msela ila demu huwezi kunifanya buzi.../
Nadharau sio kinyonge, yani sina hela halafu sitaki vibonge.../