Foxhound
JF-Expert Member
- Dec 15, 2013
- 28,735
- 76,364
Hata kama amebeba pumba, laiti ningemjua bila kupindisha maneno ningempa 10,000/= anajituma

Hata kama amebeba pumba, laiti ningemjua bila kupindisha maneno ningempa 10,000/= anajituma

Duuuh wanawake wa jiji hili wanaweza kweli pilika hizi?Wao ukiwaambia mekapu na kushinda saluni ndio haaaaaaa pakwao
dooh mkuu naona umeshona mzigo kichizi,pm tafadhali km hutojali.Akitoka hapo lazima aingie mwezini, WACHA ATAFUTE HELA YA PEDI



Salute kwako mkuu!Hawa wanawake ndio mashujaa wetu - nguzo za familia

Do hili kona anavyo lala nalo huyu mwana mama, yangu macho
Mkuu, huku sio kuteseka! Hii ni haki sawa kwa wote yaani 50/50 wanawake kwa wanaume. Nafarijika sana kuwaona wanawake wanaopambana kuwin maisha.Hii ni ishara ya maisha kuwa magumu, marais wote waliopita kasoro Ngosha wamama hawakuteseka kiasi hiki. Huu si ujasiri ni shida za watanzania walala hoi.

siwezi kuoa mwanamke wa hivo.. kila kitu kina mipaka yake, nature should be obeyedhao ndo wanawake wa kuoa sio wale wa kukesha na kushinda kwenye kioo