Holoholo
JF-Expert Member
- May 10, 2023
- 6,716
- 13,704
Kuna jamaa kitaa ni bodaboda ana mke na mtoto mmoja, mke wake alipoondoka kwa kugombana,jamaa sasa amekuwa mtu wa mawazo kila muda,anakuja na kujiinamia tu,
Mipangilio wa maisha yake imebadilika sana, boda haendeshi tena,siku zingine huwa namhurumia nampa 1k anakula wali mgahawani,wakati mwingine anaenda kwa maboda wenzake kula. Amekuwa mtu ambaye hana mbele wala nyuma. Ana msongo mkubwa wa mawazo. Wanawake wanauma kinoma
Mipangilio wa maisha yake imebadilika sana, boda haendeshi tena,siku zingine huwa namhurumia nampa 1k anakula wali mgahawani,wakati mwingine anaenda kwa maboda wenzake kula. Amekuwa mtu ambaye hana mbele wala nyuma. Ana msongo mkubwa wa mawazo. Wanawake wanauma kinoma