Wanawake wanataka wenye...

Basi angalau aonekane ni hard worker hapo mbeleni future itakubali tu kwa ushirikiano wa watu wawili Eiyer mie napita tu hapa Ingawa si wote wako kama unavyodhani....:A S-rose:

Mbona mimi nina machungu sana ya kazi na wananikataa?Ni kweli sio wote wapo kama nikivyosema ila wengi wapo hivyo . . . .
 
Kudadadeki. . . . . . Dada taratibu< Mmmmmmmmmmm!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

usjali dogo shemejio anafaidi sana labda siku nkukaribishe home uone mwenyewe. Eiyer niko fiti m lito bro.
 
Last edited by a moderator:

Wewe ulidhani mi nimesoma mpaka wapi vile?
 
ngoja nimwite Erickb52 ( MoD wetu wa ukweli) aje akulambe ban kwa kuongea mitusi,kha!
Bishanga mitusi unalala nayo nyumbani kwako hapa naaongea kiswahili fasaha kabisa. ama kwa kiingereza niseme sexual intercourse, love making, dating, they all mean penetration of man's penis into a vagina.
 
Last edited by a moderator:

Hawa viumbe wa aina hii hawapo siku hizi!Unatudanganya tu nyie ndo hamfai kabisa!
 
khaa! mbona wajihami? nkukaribisha just for lunch or dinner. manake ni kama vile hujaelewa ninachokisema.

Angalia ulichosema halafu uone kama sijaelewa!
 
Kaunga, mimi sikubaliani na wewe kwanba ni "heri uwe peke yako". Je, wewe waweza kuishi peke yako?
 
Last edited by a moderator:

Kwa jinsi ulivyolalamika hapa kwanini usiende kusoma, na kutafuta hizo pesa mkuu.....:A S confused:
 
Angalia ulichosema halafu uone kama sijaelewa!

basi sentensi yangu kumbe ni tungo tata nisamehe. Nilimaanisha nikukaribishe ili uone jinsi ambavyo shemejio anafaidi maupendo na siyo kwa rum kama ambavyo it can mean on the other hand. kwa kiswahili cha kitaa yaani uje ufaidi kwa macho tu
 

Hapa kwenye uelewa mdogo nadhani ni tatizo kubwa.Wanaume wengi uki-compare na wanawake wana uelewa mdogo sana tena hawajiamini....
 
Kaunga, mimi sikubaliani na wewe kwanba ni "heri uwe peke yako". Je, wewe waweza kuishi peke yako?

Si kuna madildo jamani. Tena siku hizi hadi life size silicon robot unapata, ngoja nitakuwekea kwenye jukwaa la wakubwa!
 
Last edited by a moderator:
mwanaume unaemzidi kwa kila kitu hafai, huta kaa uenjoy raha ya mapenzi, wanajistukia kwa kila kitu ni balaa tupu

sasa uwe na kazi inayokulazimu usafiri safiri mmh utajuta, bora wa kukuzidi elimu ukamzidi pesa kidogo mnaweza elewana
 
Mdau inaonekana wewe unamjua Mungu aliye kulinda kipindi hicho akakuvusha hali hiyo hadi akakufikisha hapa ulipo sasa, swala hapa ni kumjua Mungu muweza wa yote!!!!Huyo ndugu yetu anahitajika kupata mpenzi yaani mke mzuri toka kwa Bwana Mungu, na mwali vile vile apate mme toka kwa Mungu bila hivyo kudanganyana ni kwingi!!!! Mume mwema na mke mwema utoka kwa Mungu Baba, jamani mbarikiwe wote!!!!
 

to me life is what God has gave. So huku kuhangaika ni kusumbuka tu ila kama kakukusudia utapata tu. Thanks sana mkuu na lihimidiwe jina Mungu aliyejuu asiyeuacha unyayo wetu kusogezwa wala asiyesinzia asitulinde. Barikiwa sana
 
hii story imenikumbusha stori moja nilisimuliwa na baba yangu mkubwa, alipokuwa kijana kuna binti walipendana sana, ikafika kwenda kujitambulisha kwa wazazi ili taratibu za mahari zifanyike, yule bint alikuwa anasomea ualimu enzi hizo, dingi yeye alikuwa anapiga degree yake pale Uclas. Basi kufika pale wazee wa binti faster wakataka kujua kazi ya dingi, dingi aliwapa jibu la kuwakatisha tamaa kwamba yeye ni mtapisha vyoo, aminni usiamini shughuli iliishia hapohapo, hii issue si kwa wanawake tu, hata familia zetu nazo ziko hivyo hivyo, wachungulia mpaka upande wa pili wa shilingi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…