Hilo eneo la mahusiano haliikwepeki kudanganya, kama umefanikiwa kumudu kutodanganya............... nakupongeza bibie.......
.....ukiulizwa hicho kishida umenunua bei gani, (knowing kuwa nachukuliwa mfujaji- nitasema shilingi 500 ilhali ni 5000. Na hasa kama ni mahusiano ambayo yana kijiharufu cha abuse.
umenena vyema, wanawake tunadanganya kuhusu vitu ambavyo sio vya msingi. ukimuuliza mwanamke most probably atakudanganya kuhusu umri, weight na height. anaweza kukudanganya kuhusu kipato ili usimchune, kuhusu kunywa pombe na # of exs. ila hawezi kukudanganya kua yuko single wakati ako married, au hana watoto wakati anao.. ila sasa wenzetu nyie mtu anadanganya hadi kabila,dini, marital status ndo usiseme.
nikikudanganya saa nimenunua mia tano wakati nimenunua alfu moja impact yake ni ndogo ukilinganisha na nikisema nipo single wakati nimeolewa. Kwahiyo kwenye mahusiano nipo muwazi sana ili nisicreate matatizo.
Mimi nasema hivi...Na asiye muongo na awe wa kwanza kunyanyua jiwe kumpiga Bwana Mtambuzi.........LOL
Ukweli ni kwamba hakuna mtu hata mmoja anayeweza kuja hapa akadai kuwa hajawahi kudanganya hata mara moja, nadhani atakuwa ni kiumbe wa ajabu kabisa.
Kuna tofauti kutoka uongo mmoja hadi mwingine, kuna uongo wenye madhara na ule usio na madhara................ kama tukisema ni upande gani unaongopa zaidi kati ya KE na ME........ KE hudanganya zaidi na huo ndio ukweli wenyewe.............
Hilo la kuwa single najua huwezi kudanganya juu ya jambo hilo, lakini, Je vipi kuhusu mahusiano yako ya nyuma waweza kueleza ukweli juu ya jambo hilo? I mean, if I ask "Have you ever cheated in your previous relationship?"................. wengi swali hili hawalitolei majibu ya kweli...........LOL
Hapo kwenye red....... Walau uongo wao haupelekei maangamizi ya familia....HIV/AIDS, kufilisika na kutelekeza familia/watoto. Katika haya wanaume mwalimu wetu mmoja na tumekubuhu, Teteteteeeeeeeeeee. Kidume asimame apinge hili. Mweeeeeeeeeee!
Hili hata mie Mtambuzi nisingekujibu.............swali gani liko uchi hivi?? Tafuta vijikona kona vya kupindia lakini direct namna hii!! Kama nilicheat nitacheka tu na kukujibu kwa swali ingine mf. kwa nini unaniuliza hivyo? bna ukirogwa ukatoa sababu tu umekwisha hahahahahaha eti ah nataka tu nijue!! ntakurudishia we ulishawahi? Ukisema ndio narukia ehee ilikuwaje? of coz utalitolea maelezo ikiwemo na justification ya kuwa ulilazimika baada ya kunyanyaswa na mpenzio, bla bla blah by teh time unamaliza nshakuchomekea story nyingine
hahahahahaha
Husnivyo rudi bwana, swali hili linakusubiri lolBora wewe umekiri ukweli, lakini ningefurahi kama Husninyo angejibu swali hili.............ngoja nimsubiri
Kivipi Husninyo?Kweli kabisa ila binafsi nitadanganya vyote ila sio mahusiano.