Tatizo ni kwamba wengi wakishaingia kwenye ndoa mambo yanabadilika. Mara sijui majukumu yameongezeka. . . mambo ya kuambiana nakumiliki yanaanza full kustressishana. Though kuna raha yake maana wapo wanaofurahia kudate ni kuzuri wakati mtu bado hajawa tayari kumilikiwa/milikiana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.