Wanawake wanaoshusha injini wanaangukia hapa

Wanawake wanaoshusha injini wanaangukia hapa

moto wa maji

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2016
Posts
4,174
Reaction score
3,006
Wanawake wengi wanaopata ujauzito na kutaka kushusha injini wanaangukia katika mawazo mgando na wengine kiafya.

Wanawake wengi kwanza hufikiria hivi:
1.Jamii itamuonaje amepata ujauzito kabla ya kuolewa kwahiyo atajitahidi atoe ili asijekuonekana Malaya

2.Wazazi wanaweza kuchukua uamuzi tofauti juu ya binti yao kupata kifurushi mapema kabla ya muda wa ndoa.

3.Kujinyima fursa ya kuolewa wengi wanawaza kuwa akibeba ujauzito basi ndio atakua ashafunga milango ya kuolewa kwahiyo anaona bora atoe ili asijifungie fursa ya kuolewa.

4.Wachache ndio hutoa kwa sababu za kiafya hapa katika 100% basi 2%

Wanawake punguzeni kushusha injini sababu ya mawazo mgando mnayokuwa nayo.
 
Nilimkanya sana asije akathubutu japo kujaribu kutoa ile mimba akajifanya kichwa ngumu ,kilichompata ni siri yake na kaapa hatorudia tena maana alishachungulia kaburi almanusra aingie. Sio kila mimba inakubali kutolewa
 
Nilimkanya sana asije akathubutu japo kujaribu kutoa ile mimba akajifanya kichwa ngumu ,kilichompata ni siri yake na kaapa hatorudia tena maana alishachungulia kaburi almanusra aingie. Sio kila mimba inakubali kutolewa
Alifanyeje mkuu wewe hukuwq na mpango naye ulitegemea nini?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanawake wengi wanaopata ujauzito na kutaka kushusha injini wanaangukia katika mawazo mgando na wengine kiafya.

Wanawake wengi kwanza hufikiria hivi:
1.Jamii itamuonaje amepata ujauzito kabla ya kuolewa kwahiyo atajitahidi atoe ili asijekuonekana Malaya
2.wazazi wanaweza kuchukua uamuzi tofauti juu ya binti yao kupata kifurushi mapema kabla ya muda wa ndoa.
3.Kujinyima fursa ya kuolewa wengi wanawaza kuwa akibeba ujauzito basi ndio atakua ashafunga milango ya kuolewa kwahiyo anaona bora atoe ili asijifungie fursa ya kuolewa.
4.wachache ndio hutoa kwa sababu za kiafya hapa katika 100% basi 2%

Wanawake punguzeni kushusha injini sababu ya mawazo mgando mnayokuwa nayo.
Duh! Mkuu kwani wamekuwa magari?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom