Si kweli ni tabia ya mtu mwenyewe anapenda kuzurura na gari. Hivi siku hizi mfano Dar mabarabara yalivyofungwafungwa, mafoleni kuna raha ya kuzurura bila kwenda sehemu za msingi.
Ila nimecheka hapo anapeleka watoto hospitali japo hawaumwi. Akilizoea ataacha ataona kitu cha kawaida tu.