Pole mwenzangu ebu badilikaaa! labda unasura ya ukali kila mara kama mwanajeshi akaa!!! ebu weka picha yako kwaza halafu ntakwambia wapi unakosea mana haiwi wasicha kukuona kituko,na weye ukikasirika mtu ka mie nafa kabla hujanisogelea kwa uwoga.
Kaogelee baalini utatoa nukusi.......Misemo ya waswahili jaribu unaweza kufanikisha pia.