ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 24,796
- 60,628
Hawa viumbe haijawahi kutokea wakaeleweka.kwa hiyo usiwazingatie sana ishi nao Kama vile hawapo.kwa mfano akikwambia atakuja saa 11.we endelea kufanya Mambo yako usimzingatie akija sawa asipokuja sawa.wana maajabu sana anaweza akaja mpaka gheto kwa nje kabla hajaingia ndani akapigiwa simu na mtu wake mwingine akakupotezea ww aliyekufuata akamfuata huyo mwingine.kwa sababu wanaishi kwa misingi ya Bibi zao eva na Delilah.. Eva alidanganywa na nyoka na Delilah alimdanganya samson.kibaya zaidi ukimwambia ukweli hataki anataka umdanganye.