Wanawake wana madini gani jamani?

Wanawake ni binadamu wa ajabu sana katika uso
huu wa Dunia yaani hawa watu ni next level,
kuwaelewa ni ishu iliyowashinda hata wana
falsafa, Newton na uwezo wake wote linapokuja
suala la wanawake lazima atoke kapa na Manabii na
busara zao zote walishindwa kuwaelewa
wakaishia kushauri ya kwamba tuishi nao kwa
akili.
 
Hata mzee Mwinyi anafahamu. SUKARI.
 

We ni Me au Ke?
 
Kama juzi nimeongozana na dadangu tumbo moja akatokea jamaa moja anamsema mbele yangu kuwa mwanamke huyu ana chura ya maana mbele yangu na mbele ya umati,

Yule kijana nadhani alienda kushonua nyuzi kama si 6 ni nane,

Wote walionisapoti na walionikebehi ila kwa kile kipigo hakuna ambaye angejitoa mwanga tena kuna kupambana na mimi

Kipingo cha kuonya adui

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ulikelwa mkuu????[emoji849][emoji849]

#WAHUNI SIO WATU WAZURI
 
Utakuwa shulen we si bure
Mtu aliezoea mapenz hwez kujibjib watu ovyo kisa mpnz
Au unajishtukia tu mzee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…