mzee wa kasumba
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 1,440
- 2,963
Habari za muda huu wakuu.
Leo nakuja na swali kwa WOTE (ME na KE)
Jamani ni kwanini mwanaume anapokuwa na mwanamke aidha wanatembea au katika matembezi ya kawaida au kwa namna yoyote ile akiwa na mwanamke yaani mtu (mwanaume) anabadilika na kuwa hivi.
- Mwanaume anakua na sifa kupita kiasi. Yaani ukimkuta kijana ana demu anaweza kukujibu vibaya mpaka utashangaa.
( Hivi ni yule kweli?) Afu Mambo ya kawaida tuu.
Hivi Ni kwanini baadhi ya wanaume wenzangu mnakua hivi aisee
Au hao wanawake wanakuwa wana madini gani katika miili yao mpaka kiasi cha kuwabadilisheni??
A. Wanawake mje mtwambie
B. Wanaume muje munsaidie
Sent using Jamii Forums mobile app
Leo nakuja na swali kwa WOTE (ME na KE)
Jamani ni kwanini mwanaume anapokuwa na mwanamke aidha wanatembea au katika matembezi ya kawaida au kwa namna yoyote ile akiwa na mwanamke yaani mtu (mwanaume) anabadilika na kuwa hivi.
- Mwanaume anakua na sifa kupita kiasi. Yaani ukimkuta kijana ana demu anaweza kukujibu vibaya mpaka utashangaa.
( Hivi ni yule kweli?) Afu Mambo ya kawaida tuu.
Hivi Ni kwanini baadhi ya wanaume wenzangu mnakua hivi aisee
Au hao wanawake wanakuwa wana madini gani katika miili yao mpaka kiasi cha kuwabadilisheni??
A. Wanawake mje mtwambie
B. Wanaume muje munsaidie
Sent using Jamii Forums mobile app