Mungu Mweusi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 1,474
- 1,088
Hivi kwa nini unapokuwa na mazungumzo ya kazi/kijamii na Mwanamama au mwanadada aliyeolewa na kuvaa Pete, Mara nyingi mkiwa mnaongea utakuta anashikashika Pete yake. Hii huwa ina maana Gani? Kwa sababu Mimi huwa nakasirika sana.