Wanawake walalamika?

Wanawake walalamika?

Seleina Tikili

JF-Expert Member
Joined
May 5, 2025
Posts
1,359
Reaction score
2,663
Wanawake weng wanalalamika kuwa saiv n vigumu kupata mwanaume anayekufikisha kilele cha mlima.wengi kweny tendo hawafurahii.Hiv wanaume tatizo liko wap mbn mnafel mtihani?
 
Wanawake weng wanalalamika kuwa saiv n vigumu kupata mwanaume anayekufikisha kilele cha mlima.wengi kweny tendo hawafurahii.Hiv wanaume tatizo liko wap mbn mnafel mtihani?
Wanawake wenyewe ndo hawa 😂
1e8a020d-a792-448e-a95a-9501c9a6923c.jpeg
 
Wanawake weng wanalalamika kuwa saiv n vigumu kupata mwanaume anayekufikisha kilele cha mlima.wengi kweny tendo hawafurahii.Hiv wanaume tatizo liko wap mbn mnafel mtihani?
Nonsense!
Mtu kaanza kushiriki tendo la ndoa ana miaka 13, akiwa shule ya msingi. Kaanza O level mwendo mdundo, A level ameshakewa expert, anamaliza chuo tayari ni kungwi. Ameshiriki tendo hata hakumbuki idadi. Hata huyu analalamika hafikishwi kileleni!
Nyambafu kabisa.
 
Nonsense!
Mtu kaanza kushiriki tendo la ndoa ana miaka 13, akiwa shule ya msingi. Kaanza O level mwendo mdundo, A level ameshakewa expert, anamaliza chuo tayari ni kungwi. Ameshiriki tendo hata hakumbuki idadi. Hata huyu analalamika hafikishwi kileleni!
Nyambafu kabisa.
mm kama mwanaume na wanaume wengine tunapitia wakat mgm
 
Waambie hao wanawake mm nipo kwajili yao ila wanilipe kila nikiwafikisha maana sio kaz nyepes
 
Hakika nawaambia kuwa ule msemo ati kupungukiwa nguvu za kiume ni uongo uongo tena uongo. Kusema ukweli sasa hivi ni kupungukiwa kwa nguvu zakike. Mtoto wa kike anaanza kutrimowinga akiwa mdogo sasa unatarajia atabak na nguvu kweli. Yaan inafika mda ambao angelianza mapenz unakuta yeye hana hamu, hana hata hisi anakaa mkao wa kula mwanaume na hisia zako unasugua unamaliza mapema coz haja kupa ushirikiano ili akuhamishie mawazo asiwaze kule chn coz akili ikiwaza upande mmoja kumaliza n chap. Lakin dem akikufanyia mambo tofauti tofaut unajikuta mnafika wote kilelen na hatalalamika tena. Pili huu ndio ukwel mwingne. Mwanamke ambae anatumia mpango wa uzazi hana hisia kabisaa na weng wao ndio wanalalamika kutofika huko wanakota ila hawajui tatizo wanalo wao wenyewe kwa kuweka speed governer iwe ya kumeza tembe, kitanz, sindano nk. Lakin dem ambae hana speed governer mnafika wote na asilimia kubwa watafika had mara2 ya 3 mfike wote. Kwa hivo hakuna mwanamme asiye na nguvu bali wanawake ndio hawana. I will be back
 
Back
Top Bottom