Wanawake wafupi na tabia zao!

Wanawake wafupi na tabia zao!

Huo ufupi unaanzia inch ngapi maana waweza kuta na mie nimo, ila siku hizi hamna watu wafupi high hills zinatusaidia
[emoji13] [emoji13] [emoji13] sakayo bana umeacha kupanda juu ya miti au mpaka oct. Mosi?
 
wabishi balaa [emoji30] [emoji30] [emoji30]
 
Sehem pekee ambapo Maneno uchunguzi/utafiti hayamaanishi kweli maana yake ni jf
 
Ufupi ni muonekano pia.. There is alot of successful sexy short women out there.
There is alot of great short mothers wengine wamelelewa nao hapa. [emoji4]
Cha msingi ni kujiamini
Usiconfuse physical appearance na personality. Na usigeneralize..
 
Sijaona yote kati ya hayo ulio taja hapo. Ila naamini inategemea na mtu sio kimo wala nini.
 
ni waongo kinyama, afu wanatabia ya kusingizia sana vitu like anaumwa kumbe hakaumwi! nipo nyumbn kumbe hakapo, Yn hyo kwao imezid
 
Nakili kuwa huu uchunguzi wangu ni wa kweli juu ya wanawake wafupi kuwa ni waongo,wanapenda kujinadi kwa vitu vya kijonga,wanapenda pesa hivi kwa wale wenye type hii ya wanawake naomba muthibitishe au muongeze sifa zao.
Mmmm yawezekana
 
Back
Top Bottom