The Messenger
JF-Expert Member
- Jul 2, 2014
- 1,523
- 808
Hapo kweli... nina demu ninamtongoza nampenda ila akaniambia anajamaa wake, nikajidai sielewi somo nikamkazia sana akaanza kuniita my, mara luv.. lakini kumuacha jamaa ake hataki na mimi akiona ninataka ku give up niwaache na jamaa yake anakua mnyonge kuonesha hajakubaliana na uamuzi wangu huo, kwahiyo hapo na mimi ninajipa moyo labda atamuacha jamaa yake, hapo na mimi nafanyaje wadau!??
yaani jinsi atakavyomwacha jamaa ake ndivyo atakavyokuache na wewe