well saidTumeacha misingi ya dini ndio maana kila kitu kinaenda shaghala bagala..
mwanamke asili yake ni kukaa nyumbani kulea watoto,mwanaumebakatafute ahudumie familia..
tatizo wanaume zetu wa kiafrica mkishapata mbili tatu unataka uwe mwnyi!!mke umfanyie kila aina ya hila,nani atakubali?! na ndio maana siku hzi tunabanana maoffisini..
Kubanana maofisini hatukatai ....tunacho kitaka ni heshima.....ukijiona unataka haki sawa basi na ww acha kodi ya meza 50% na mengine kibaoTumeacha misingi ya dini ndio maana kila kitu kinaenda shaghala bagala..
mwanamke asili yake ni kukaa nyumbani kulea watoto,mwanaumebakatafute ahudumie familia..
tatizo wanaume zetu wa kiafrica mkishapata mbili tatu unataka uwe mwnyi!!mke umfanyie kila aina ya hila,nani atakubali?! na ndio maana siku hzi tunabanana maoffisini..