Wanawake wa Saudi Arabia waanza vuguvugu mitandaoni kupinga Hijabu na Niqabs

Zote hizo ni tabia za dini hii ya waabudu majini na mtume wao wa uongo. Wanapenda kuchinja wengine ilhali wao ni wachafu. Wao wanaishi kwa hadithi za huyo kaaba mkuu, na hiyo kurani yao na mafundisho ya wapagani wa Mecca.
Unaongea kimipasho kuliko point
 
Tehtehteh, kwa mujibu wa kitabu chako ulichosoma Uislamu ulikua haupo enzi za Farao ila kwa mujibu wa kitabu changu kinaniambia tokea NABII ADAM binaadamu wa mwanzo Uislamu ulikuwepo, sasa sjui huyo Mussa aliekua akimpinga Farao alikua mpagani kwa mujibu wa kitabu chako???


1. Muhammad ni nani kwako?
2. Anahusika vipi na uislamu?
3. Alizaliwa lini?
 
Ni wapi ktk kuran Mungu alimteuwa na kumtuma Muhammad km mtume kuja duniani. Walete ushahidi.
Juzuu ya 30 (AMMA), Sura Al-Bayyina aya ya 3 inasema " NI MTUME (MUHAMMAD) ALIYETOKA KWA MWENYEZIMUNGU ( ALLAH) ANAEWASOMEA SAHIFA ZENYE KUTAKASIKA" hio ni baadhi ya miongoni mwa aya kutoka ktk Qur-an inayothibitisha Muhammad katumwa kama Mtume kuja duniani. MM NIKIAMUA KUKUPIGA MASWALI YA DINI YAKO UTAKIMBIA ARAKA DOGO
 
Mtasubiri sana kufikiri kwamba kwa vitendo hivyo vinaashiria YESU yu karibu kurudi.Sisi tumekua tunakuta wakubwa wetu wanavaa kufunika sehemu za siri tu wakati sehemu kubwa ya mwili ikiwa wazi. Watoto Wa kiume wadogo, tofauti ililetwa na shuka tu usiku maana halikuwa jambo la kushangaza kutembea uchi uchi mchana na usiku hadi Bata kudonoa sehemu za siri kama mtoto anajisahau.

Kwa hiyo,binadamu amepitia mabadiliko mengi sana na ataendelea kufanya hivyo. Kujaribu kuhusisha watu kutovaa hijabu, kuendesha magari na kukaribia kurudi kwa YESU ni kuendeleza dhambi ile ile ya kupiga ramli juu ya kurudi kwake YESU.
Kuja kwa Yesu hakuhitaji ufafanuzi wa kiuzoefu. Bibilia inasema anakuja upesi, na dalili zake alizoandika mathayo 24, daniel na ufunuo, na Timotheo zinatimia kila kukicha. Inakubidi usiiamini bibilia ili uandike hayo maelezo yako mkuu.
 
Na wasiokua waislam pia kama huyo mtoa mada, jiulize kwa nn asikemee ushoga unaofanywa na wazungu ( hakuwahi kuleta mada ya kukemea ushoga ) bali mada ukiangalia kiundani utagundua kitu flan kwa upande flan
Kwanini wapemba hawaufanyi mbona hukemei
 
Sasa uko Rwanda utapataje abari kwa uthibitisho kuwa Pemba kuna ayo unayofkiria kama SI Propaganda ??? MM NIKO ULAYA HUKU NA NIMESHATEMBEA ZAIDI YA NCHI 6 NA KUJIONEA MAMBO MBALIMBALI YA AJABU NA MPAKA SASA NIKO HUKU NACHEZEA BARIDI BRO WNGU. Narejea palepale tuacheni propaganda sio kitu kizuri
Mi nko Rwanda
 
Kuja kwa Yesu hakuhitaji ufafanuzi wa kiuzoefu. Bibilia inasema anakuja upesi, na dalili zake alizoandika mathayo 24, daniel na ufunuo, na Timotheo zinatimia kila kukicha. Inakubidi usiiamini bibilia ili uandike hayo maelezo yako mkuu.
Ingelikua hao wanaonipinga wananipinga kwa poit kama ww nadhan wangenielewa nn naongea, tatizo wanapanic na matusi juu, pamoja sn jibaba
 
View attachment 872863
''Nimekata nywele zangu na kuvua niqab (kile kitambaa cha kuficha uso) nashangaa kwa nini nifiche uso wangu muda wote, nikagundua ni kwa sababu ya mazoea na tamaduni za kijinga ambazo haziniruhusu mimi kuwa huru'' Taraf Alsiri ambaye ndiye mdada wa kwanza kuvua sura na kujianika twitter na wengine kufuata.
View attachment 872868

# wanawake maferminist wanapongeza tukio hilo na kuwaita hao kama mashujaa.
#Vuguvugu liloanza hata waziri wa elimu ya wasichana alipoonekana akiwa hajafunika uso na kuzua sintofahamu huku jamii ikigawanyika wengine wanaunga mkono wengine wanapinga.
#Mwanzoni mwa mwaka huu Mtoto wa mfalme wa Saudia alipohojiwa na TV moja ya kimarekani CBS Mohammed Bin Salman alisema sheria haikatazi wanawake wasijifunike sura, ila inasema wavae kwa staha.

MY TAKE:
-Vuguvugu la uhuru wa mwanamke ambapo linaenda sanjari na vuguvugu la Usodoma na usagaji (LGBT) halizuiliki ili yote yatimie kama Yalivyoandikwa.
-Yajayo Yanafurahisha

Source;
#SolidaritywithTaraf: Saudi Women Join Online Movement by Removing Niqabs, Hijabs
Walikua wanaona shida kupiga selfie na hijab za kuficha uso
IMG_20180922_232220_902.jpg
 
Nan kachafua uislam mkuu? Mbona jamaa kaleta tarifa kutoka saud wala sijaona sehem ambayo kachafua uislam
Hao tatizo lao ni mihemuko tuu! yeye anafikir huko ni waislam tuu ndio wanafunika uso, Sheria zao sinahusu mwanamke yeyote aliyeko nchi ile awe muislam au dini gani, na ukitaka kujua ukali wa sheria yao mwanamke akavae kimini au akatae kufunika uso wake kisa et sio muislam uone kitakachotokea.
 
Kuja kwa Yesu hakuhitaji ufafanuzi wa kiuzoefu. Bibilia inasema anakuja upesi, na dalili zake alizoandika mathayo 24, daniel na ufunuo, na Timotheo zinatimia kila kukicha. Inakubidi usiiamini bibilia ili uandike hayo maelezo yako mkuu.

Huko kurudi "upesi" mlianza kukutangaza toka Mwaka 1818. Tuambieni hadi Leo kuna nini. Huyo YESU anayekuja alisema hata hizo dalili zote zikishakutokea siku yenyewe inakuwa bado mbali. Sasa unaposema anakuja upesi unamaanisha nini?
 
Makafiri wanapata Tabu saana na Uislamu.
mbona wale wanawake wa kigalatia (watawa) wanavaa Hijabu lkn sisi hatuna Noma?
hivi nyie laanatullah kipi hasa kinawapa tabu kwa wanawake wa kiislamu kuvaa nguo za kistaarabu?
lzm kila mwanamke avae nusu Uchi kama nyie Laanatullah?.

Ajeeb! kabisa
 
Mkuu,Sio vita na wasabato Bali ukweli dhidi ya uongo na uzushi. Haiingii akilini kufikiria kwamba wanawake kuruhusiwa kuendesha magari au kutovaa vilemba ni ishara kwamba YESU anarudi. These are just taboos.

Kule kwetu UKEREWE, kwa mfano, wanawake hawakuruhusiwa kula mayai au kula nyama ya kuku. Na kulikuwa na vindege fulani hivi vidogo(kwa kilugha "Infunji"), wanawake hawakuruhusiwa kuvila kwa maelezo kwamba sehemu zao za siri zingalikuwa nyekundu kama rangi ya hao ndege. Leo mambo hayo hayapo.Je,hiyo nayo ni dalili ya kurudi kwa YESU?

Ninachukia sana watu wanaodanganya watu kwa maslahi yao. Yesu pamoja na kufahamu angalikufa baadaye,bado huo haukuwa ujumbe pekee kwa wayahudi na wafuasi wake usiku na mchana.

Tunataka wawafundishe watu namna ya kuishi maisha ya utaua ili hata YESU anapokuja wakati wowote waweze kunyakuliwa.Hatuhitaji kufahamu YESU anarudi lini ndio ndio tukazane kujiandaa.
Katika fikira za kawaida YESU kurudi hiv karibuni hilo sahau, Kama YESU alikuja baada ya mamilion kadhaa ya miaka toka kuwepo kwa mwanadamu duniani iweje arudi haraka hivo kwa miaka 2000 tuu toka aondoke
 
Back
Top Bottom