Wanawake wa Saudi Arabia waanza vuguvugu mitandaoni kupinga Hijabu na Niqabs

sio uchunguzi wangu, bali ni habari na source umewekewa, na unaweza kuingia twitter ukawafuatilia wahusika.
ni vizuri kuwa na utamaduni wa kusoma kabla ya kucomment.
Na wewe huna utamaduni wa kusoma vema michango katika uzi kabla ya kujibu,

nimesema kama hii habari vyanzo vyake ni kutoka Magharibi basi hakuna lolote ila ni propaganda. Kwani siku zote wanapambana kuhakikisha wanawake wa Saudia wanatembea Uchi kama wao na hilo jambo ni gumu kamwe, na ndo maana waovu wengi wa Saudia wanalazimika kusafir mpka Dubai kwenda kufanya starehe zao na si Saudia
 
Na wewe huna utamaduni wa kusoma vema michango katika uzi kabla ya kujibu,

nimesema kama hii habari vyanzo vyake ni kutoka Magharibi basi hakuna lolote ila ni propaganda. Kwani siku zote wanapambana kuhakikisha wanawake wa Saudia wanatembea Uchi kama wao na hilo jambo ni gumu kamwe, na ndo maana waovu wengi wa Saudia wanalazimika kusafir mpka Dubai kwenda kufanya starehe zao na si Saudia
Muamini Mungu usimuamini magharibi, wala usiwawekee dhamana hao waarabu maana ni wanadamu ambao wanaweza kufanya maamuzi yao ya hiyari kuchagua kuishi watakavyoishi muda wowote.
chanzo cha habari hakiifanyi kuwa haramu ikiwa wahusika ni kweli watu wa Huko.
Kama ungekuwepo US siku wanabandika bango '' In God we trust'' usingeamini kuwa kuna siku wangefika hapa walipoifikisha dunia ya maadili. Mwamini Mungu, utajipunguzia surprise nyingi kwa matukio yanayokuja kutokea hapo middle east na duniani kwa ujumla.
 
Hayo yoote uliyoyaandika kafanye uchunguzi, sina shaka hutoweza labda usafir mpaka Riyadhi ndo utaweza kuupata uhakika wa mambo,
Otherwise hizo ni propaganda za Western Media kutaka Saudia wafanane nao kwahiyo kama uchunguzi wako utaegemea kwa Nchi za magharib mtaishia kupiga kelele, ,
Dah¡¡¡ kuna watu mna mahaba niue had kero..Haya bwana tuwekuelewa ulichoandika
 
Na wasiokua waislam pia kama huyo mtoa mada, jiulize kwa nn asikemee ushoga unaofanywa na wazungu ( hakuwahi kuleta mada ya kukemea ushoga ) bali mada ukiangalia kiundani utagundua kitu flan kwa upande flan
Wewe jamaa ni mgonjwa Wa akili iv dunia hii kweli kuna mashoga makubwa na mengi kama uarabun? Ebhu nenda Oman na Zanzibar watu wanafirana kinoma kama njugu watu wameenda mbali zaid na kulala na watoto wao. Yote hayo yanatokea palipo na uislam mwingi kama zenj na tanga na pwan kwa ujumla

Maswala ya ushoga hayana chama wala kabila au din lakin palipo na uislam na waislam ndo kuna ushoga Wa kutisha
 
Na wewe huna utamaduni wa kusoma vema michango katika uzi kabla ya kujibu,

nimesema kama hii habari vyanzo vyake ni kutoka Magharibi basi hakuna lolote ila ni propaganda. Kwani siku zote wanapambana kuhakikisha wanawake wa Saudia wanatembea Uchi kama wao na hilo jambo ni gumu kamwe, na ndo maana waovu wengi wa Saudia wanalazimika kusafir mpka Dubai kwenda kufanya starehe zao na si Saudia
Hivi we jamaa kwako akitajwa muarabu n kama vile katajwa Jibrili nn?
 
tatizo la misimamo mikavu ya kiimani. Kila unapoona kitu chochote kuhusu imani yako, akili unaiweka katika defensive mode kumbe nyingine ni taarifa za kawaida tu.
Hao ndo wapuuz wanaotanguliza din mbele badala ya kumtanguliza mungu alaf huyo unakuta ni shetan Wa kutupwa wenzake wenye uislam wamechoka kuvaa majuba cha ajabu yeye aliyeletewa anapinga na kudai unachafua uislam wakati waliomletea huo uislam na mitindo ya uvaaji wameichoka alafu yeye anapiga kelele hapa
 
WW unaongea vuguvugu la wanawake, Afrika ya kusini washachapisha mpaka Qur-an mpya yao na wakajitungia sala zao ambazo ni 3 kwa siku, wakatengeneza sheia ya kusali pamoja wanawake na wanaume, HIZO CHOKOCHOKO ZA KUUCHAFUA UISLAMU HAUKIANZA LEO, WAMEANZA TOKEA KINA FIRAUNI NA WAKAPOTEZWA , unaenda kuongea vuguvugu la wanawake saudia hahahahahhaa, Uislamu upo na Sheria zake zipo tu ukitaka usitake ,,

Mkuu mbona mleta bandiko haja chafua uislam! Yeye ameripoti kinacho endelea huko nchi ya Saudi!
 
Na wasiokua waislam pia kama huyo mtoa mada, jiulize kwa nn asikemee ushoga unaofanywa na wazungu ( hakuwahi kuleta mada ya kukemea ushoga ) bali mada ukiangalia kiundani utagundua kitu flan kwa upande flan
Ushoga ulianza Afrika mashariki kabla wazungu hawajatua hapa. Ushoga umekithiri middle east hivyo usisingizie wazungu.
 
View attachment 872863
''Nimekata nywele zangu na kuvua niqab (kile kitambaa cha kuficha uso) nashangaa kwa nini nifiche uso wangu muda wote, nikagundua ni kwa sababu ya mazoea na tamaduni za kijinga ambazo haziniruhusu mimi kuwa huru'' Taraf Alsiri ambaye ndiye mdada wa kwanza kuvua sura na kujianika twitter na wengine kufuata.
View attachment 872868

# wanawake maferminist wanapongeza tukio hilo na kuwaita hao kama mashujaa.
#Vuguvugu liloanza hata waziri wa elimu ya wasichana alipoonekana akiwa hajafunika uso na kuzua sintofahamu huku jamii ikigawanyika wengine wanaunga mkono wengine wanapinga.
#Mwanzoni mwa mwaka huu Mtoto wa mfalme wa Saudia alipohojiwa na TV moja ya kimarekani CBS Mohammed Bin Salman alisema sheria haikatazi wanawake wasijifunike sura, ila inasema wavae kwa staha.

MY TAKE:
-Vuguvugu la uhuru wa mwanamke ambapo linaenda sanjari na vuguvugu la Usodoma na usagaji (LGBT) halizuiliki ili yote yatimie kama Yalivyoandikwa.
-Yajayo Yanafurahisha

Source;
#SolidaritywithTaraf: Saudi Women Join Online Movement by Removing Niqabs, Hijabs

Mtasubiri sana kufikiri kwamba kwa vitendo hivyo vinaashiria YESU yu karibu kurudi.Sisi tumekua tunakuta wakubwa wetu wanavaa kufunika sehemu za siri tu wakati sehemu kubwa ya mwili ikiwa wazi. Watoto Wa kiume wadogo, tofauti ililetwa na shuka tu usiku maana halikuwa jambo la kushangaza kutembea uchi uchi mchana na usiku hadi Bata kudonoa sehemu za siri kama mtoto anajisahau.

Kwa hiyo,binadamu amepitia mabadiliko mengi sana na ataendelea kufanya hivyo. Kujaribu kuhusisha watu kutovaa hijabu, kuendesha magari na kukaribia kurudi kwa YESU ni kuendeleza dhambi ile ile ya kupiga ramli juu ya kurudi kwake YESU.
 
JavaScript is disabled. For a better
experience, please enable JavaScript
in your browser before proceeding.
 
Mtasubiri sana kufikiri kwamba kwa vitendo hivyo vinaashiria YESU yu karibu kurudi.Sisi tumekua tunakuta wakubwa wetu wanavaa kufunika sehemu za siri tu wakati sehemu kubwa ya mwili ikiwa wazi. Watoto Wa kiume wadogo, tofauti ililetwa na shuka tu usiku maana halikuwa jambo la kushangaza kutembea uchi uchi mchana na usiku hadi Bata kudonoa sehemu za siri kama mtoto anajisahau.

Kwa hiyo,binadamu amepitia mabadiliko mengi sana na ataendelea kufanya hivyo. Kujaribu kuhusisha watu kutovaa hijabu, kuendesha magari na kukaribia kurudi kwa YESU ni kuendeleza dhambi ile ile ya kupiga ramli juu ya kurudi kwake YESU.
Mkuu hii vita yako na wasabato umeona uiamishie huku? naona umeamua ktangaza jihad..
 
WW unaongea vuguvugu la wanawake, Afrika ya kusini washachapisha mpaka Qur-an mpya yao na wakajitungia sala zao ambazo ni 3 kwa siku, wakatengeneza sheia ya kusali pamoja wanawake na wanaume, HIZO CHOKOCHOKO ZA KUUCHAFUA UISLAMU HAUKIANZA LEO, WAMEANZA TOKEA KINA FIRAUNI NA WAKAPOTEZWA , unaenda kuongea vuguvugu la wanawake saudia hahahahahhaa, Uislamu upo na Sheria zake zipo tu ukitaka usitake ,,

Unaifahamu historia vizuri? Hivi uislamu ulikuwepo wakati Wa Farao(Firauni)?
 
Na wasiokua waislam pia kama huyo mtoa mada, jiulize kwa nn asikemee ushoga unaofanywa na wazungu ( hakuwahi kuleta mada ya kukemea ushoga ) bali mada ukiangalia kiundani utagundua kitu flan kwa upande flan
Kwa maoni yangu sijaona nia mbaya ya mleta mada. Nilichoona ni kuwa Mleta mada kajaribu kuweka kuwa watu wa mataifa ya kiislam ndio kwa asilimia kubwa walikuwa wamebaki wakiwa na maadili ulimwenguni kote lkn hivi sasa nao wanaanza kuwa wafuasi wa yule mwovu.

Baada ya taarifa ya mleta mada Suala la msingi ni jee ww binafsi umeshikamana kiasi gani kuhakikisha ww na familia yako hamuwi katika waliopotoea.

Binafsi hizi taarifa mi nazichukua kama changamoto kwamba uchamungu mahala pake ni moyoni, uchamungu hauji kwa kutumia nguvu au amri. Jitihada kubwa zinapaswa kufanyika kuhakikisha familia zetu zinashikamana na uchamungu ule wa moyoni kabisa kwani bila kufanya hivyo mabinti wakiwa mbali na wazazi wao watazivua hijabu na kuzitia makabatini hii ni kwasababu walikuwa wakizivaa kwa kuwaogopa wazazi wao na sio kwa uchamungu
 
Back
Top Bottom