Habari za Asubuhi wadau wa MMU!
Kutokana na maendeleo ya teknolojia ya mawasiliano (teknohama) pamoja na utandawazi, inazidi kuwa rahisi sana kukutana na mtu wa aina yeyote yule unaemhitaji. Kwa wale ambao wanataka wapenzi, watu wa kufanya nao biashara, watu wa kubadililshana mawazo ya kidini, marafiki, etc. imekua rahisi sana kuwapata.
Nataka nigusie zaidi kwa upande wa wapenzi na hasa wanawake wanaopatikana kwa njia za kielektroniki na kimtandao (online). Mitandao hii inazidi kuwa maarufu kwa hapa Tanzania ambayo wanawake na wanaume wanaotafutana hukutana (dating sites). Mimi pia kutokana na vishawishi vya hapa na pale nimewahi kuonana na wanawake kadhaa kutoka kwenye hiyo mitandao.. Sasa nina mambo kadhaa amabayo nimeyagundua napenda niwashirikishe.
1. Wengi wao hutoka katika vyuo vikuu hasa CBE, Tumaini, KIU na baadhi ni waliomaliza form four ambao wako tu nyumbani hawana kazi au wanasubiri matokeo.
2. Wengi wao pia huwa mitandaoni kwa malengo makuu mawili, kutafuta mwanaume mwenye hela wa kuwaweka mjini au hawana mwanaume so wako desperate kutafuta mtu wa kuwa nae.. cha ajabu ni kwamba pia wapo wachache ambao wanapenda kuwa na wapenzi wengi tu bila sababu, wanafurahia hilo.
3. Kinachoshangaza zaidi ni kuwa wengi wao wako tayari kutembea na wewe hata kesho yake tu, pia wengi wao hawapendi kutumia kondomu wanapokutana na watu wao. Hii inamaanisha nini?
4. Pia wengi wao wako tayari kutembea au kuwa na uhusiano na mwanaume yeyote, awe ameoa au ana mchumba wako tayari tu hamna shida.
Sasa kutokana na observations zangu za hapo juu napenda kuwauliza wana MMU, tatizo liko wapi? je, ni kwamba hao wanawake wanaokuwa online kuchat huwa wengi wao wanaingia kwa malengo maalumu kama ambavyo wanaume wanaowatafuta wanavyochat nao kwa lengo maalumu?
Kutokana na maendeleo ya teknolojia ya mawasiliano (teknohama) pamoja na utandawazi, inazidi kuwa rahisi sana kukutana na mtu wa aina yeyote yule unaemhitaji. Kwa wale ambao wanataka wapenzi, watu wa kufanya nao biashara, watu wa kubadililshana mawazo ya kidini, marafiki, etc. imekua rahisi sana kuwapata.
Nataka nigusie zaidi kwa upande wa wapenzi na hasa wanawake wanaopatikana kwa njia za kielektroniki na kimtandao (online). Mitandao hii inazidi kuwa maarufu kwa hapa Tanzania ambayo wanawake na wanaume wanaotafutana hukutana (dating sites). Mimi pia kutokana na vishawishi vya hapa na pale nimewahi kuonana na wanawake kadhaa kutoka kwenye hiyo mitandao.. Sasa nina mambo kadhaa amabayo nimeyagundua napenda niwashirikishe.
1. Wengi wao hutoka katika vyuo vikuu hasa CBE, Tumaini, KIU na baadhi ni waliomaliza form four ambao wako tu nyumbani hawana kazi au wanasubiri matokeo.
2. Wengi wao pia huwa mitandaoni kwa malengo makuu mawili, kutafuta mwanaume mwenye hela wa kuwaweka mjini au hawana mwanaume so wako desperate kutafuta mtu wa kuwa nae.. cha ajabu ni kwamba pia wapo wachache ambao wanapenda kuwa na wapenzi wengi tu bila sababu, wanafurahia hilo.
3. Kinachoshangaza zaidi ni kuwa wengi wao wako tayari kutembea na wewe hata kesho yake tu, pia wengi wao hawapendi kutumia kondomu wanapokutana na watu wao. Hii inamaanisha nini?
4. Pia wengi wao wako tayari kutembea au kuwa na uhusiano na mwanaume yeyote, awe ameoa au ana mchumba wako tayari tu hamna shida.
Sasa kutokana na observations zangu za hapo juu napenda kuwauliza wana MMU, tatizo liko wapi? je, ni kwamba hao wanawake wanaokuwa online kuchat huwa wengi wao wanaingia kwa malengo maalumu kama ambavyo wanaume wanaowatafuta wanavyochat nao kwa lengo maalumu?