Wanawake wa MILLENIAL bana...

Wanawake wa MILLENIAL bana...

Mkuuu, mtu kuomba pesa si kwamba kafulia kabisa lah huwa tunapima je huyu mtu ni husband material au ana mkono wa birika(mchoyo) ,usipompa hela anakuona humfai for future ,toeni hela muonekane husbands material hayaa

Hujamwelewa mtoa mada, shida si kutoa pesa, pesa utakayoomba utapata, ila tu mnapoomba pesa, msiwe wagumu kutoa papuchi, yani ww ukipata pesa, mwanaume anapata papuchi, kila mtu hapo anaridhika financial services
 
A force is a push or a pull that acts upon an object as a results of its interaction with another object. ... These two forces are called action and reaction forces and are the subject of Newton's third law of motion.

Formally stated, Newton's third law is: For every action, there is an equal and opposite reaction.

HIYO 3RD LAW OF MOTION IMEMALIZA KILA KITU 😉😉
 
Hujamwelewa mtoa mada, shida si kutoa pesa, pesa utakayoomba utapata, ila tu mnapoomba pesa, msiwe wagumu kutoa papuchi, yani ww ukipata pesa, mwanaume anapata papuchi, kila mtu hapo anaridhika financial services
Mkuu, unafanisha thamani ya papuchi na pesa ? Vitu tofauti kabisa ,na hiyo exchange ya pesa na papuchi ni biashara sasa siyo love , toeni pesa hizo, sipendi husband bahili mimi
 
Mkuu, unafanisha thamani ya papuchi na pesa ? Vitu tofauti kabisa ,na hiyo exchange ya pesa na papuchi ni biashara sasa siyo love, toeni pesa hizo, sipendi husband bahili mimi

Kwani wanawake wengi sahivi ninyi si wafanyabiashara wa papuchi? mnatuuzia papuchi, huo ndo ukweli, una-date na mwanaume usiempenda kwasabab ana hela, sasa huko si kuuza? financial service
 
Kuna dada nilimtongoza jumatano, akakubali ijumaaa na jms jioni akanitumia sms, eti anashida na pesa TSH laki nne!
Nikabaki najiuliza nisingemtongoza hizo pesa angeomba wapi!?
Nikampotezea mazima,akaanza,unanipenda kweli?mbona hela hujanipa!nikamwambia Sina na mapenzi sio pesa!
 
Kuna dada nilimtongoza jumatano, akakubali ijumaaa na jms jioni akanitumia sms, eti anashida na pesa TSH laki nne!
Nikabaki najiuliza nisingemtongoza hizo pesa angeomba wapi!?
Nikampotezea mazima,akaanza,unanipenda kweli?mbona hela hujanipa!nikamwambia Sina na mapenzi sio pesa!
Saviour umejitokeza..!!!

#YNWA
 
Back
Top Bottom