Wanawake wa make-ups: sura safi, ila miguu mmhhh..!

Wanawake wa make-ups: sura safi, ila miguu mmhhh..!

very good , sema navurugwa kichwa na yanayoendelea huko kwenye Bunge lenu la katiba.

w'end hii vipi , tunasaga?

Amhh... Samahani, kwenye asosiesheni yenu kusaga ndo nini ati? Maana mhh, mi nimepata picha tofauti kabisa. Au sijui camera mbovu?
 
marya+ogopa.jpg
The+ClicTz.jpg
1377596_597479016956789_211597374_n.jpg
1016781_597479103623447_606418239_n.jpg
1381199_597479036956787_2050994797_n.jpg

Aahaaa, wacha weeee..... Hapo Tyta ungetubandikia na contacts zao ungekua umemaliza kazi
 
aiseeeee.
Amoxicillin2.jpg

Hahaha tyta nashukuru kwa msisitizo wa picha. Bora Amoxicillin hizo rangi red na yellow zinavutiaje, sasa mtu juu anakuwa kama Salama Jabir (mweupee), ukicheki ugoko wake sasa utadhani ni miguu ya Mpoki mwarabu wa Dubai mwee

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
nmecheka mpaka machozi dah.hii kweli stress free zone

Hahaha nashukuru kama umepata cha kukuchekesha. Cheka mwaya ujisahaulishe stress za maisha

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Mmhhh sie rangi imelingana mwili wote kazi kwao wanaojichubuaaa
 
Back
Top Bottom