Magnificient
JF-Expert Member
- Aug 8, 2013
- 1,177
- 734
Wadada warembo oyeee.... Mimi jamani sina lengo baya, ila ni kuweka mambo sawa tu. Utakuta dada kajitahidi kutengeneza sura hadi inakuwa poa, na nywele bomba kabisa. Kidume utapata ham na mshawasha wa kuperuzi mwili wake wote, mzuka utapandaa ila ukifika miguuni tobaaa...! Kunguru si kunguru, ila sijui ni masahibu gani. Mnaonaje kama mguu nao upigwe vi make-ups ili uendane na sura? Maana wengine hata wakivaa sandals au open shoes tu majanga, waume wote kuleee... Nadhani nimesomeka, nilikuwa nakumbushia tu kwenye kujiremba kwetu tukumbuke na miguu yetu ili kama nayo haiko poa basi ipigwe msasa.