Tuondolee lawama humu, hebu changamsha balls zako huko...Unakuwa kama mbwa unataka kusakiziwa.
Kabila la mtu sio lebo kama zilivyo nguo na viatu kutambulisha ubora wa mke mwema,basi kila mtu angekuwa anatembea amejibandika kwenye paji la uso.
Huku kujifanya unatafuta kabila la kuo ni kutapatapa na kujsribu mbinu ambayo wenzako waliitumia mwaka -47.
Sipendi ukabilaaaaa!