VictoriousYouth
Member
- Jan 16, 2014
- 63
- 11
Wana-JF, naomba mwenye hekima aseme ni kabila lipi hapa Tz mabinti wake wana sifa nzuri za kuwa wanawake wa ndoa (wake)....? achilia mbali tabia za mtu mmoja mmoja kiujumla yaan...?
Mke mwema anatoka kwa bwana. Sio katika kabila maalum ama kabila fulani.
na mume mwema anatoka kwa nani?
Oa Mnyamwezi..wanawake wanajua kustahmili maudhi ya Mume hawa...mimi niko znz na mtu wa znz ila nna jirani yangu ni mnyamwezi(Msukuma) huyu mama ni mwisho kwa uvumilivu...wakipenda wanaoza hili kabila...Naomba samahani kama itakua nimekosea mimi ni Mmakunduchi wa znz...na huu ndo mtazamo wangu....wachaga? I don't know! Tanga I am not sure!
wachaggga....machame/kibosho
na mume mwema anatoka kwa nani?
Wana-JF, naomba mwenye hekima aseme ni kabila lipi hapa Tz mabinti wake wana sifa nzuri za kuwa wanawake wa ndoa (wake)....? achilia mbali tabia za mtu mmoja mmoja kiujumla yaan...?
Wana-JF, naomba mwenye hekima aseme ni kabila lipi hapa Tz mabinti wake wana sifa nzuri za kuwa wanawake wa ndoa (wake)....? achilia mbali tabia za mtu mmoja mmoja kiujumla yaan...?