Wanawake wa Kikenya

Naamin tangu uombe ushaur had leo tayar umeshayajua mapunguf yake na mazuri yake naomba utuweke waz na sisi tulioanza mahusiano na wakenya wapoje?
 
Nili-date na demu kutoka Kisii huko Kenya, ni shida tupu kwa kweli....wanapenda pesa, uaminifu zero, wabinafsi sana na shida kubwa anakuganda mno pamoja na majanga yake yote hayo. Nahisi wanaume wa Kenya ndo wanawaharibu wanawake wao mpaka wanakuwa na matabia ya ajabu hivyo
 
Uaminifu zero halafu tena anakugandia nini ?
 
Uaminifu zero halafu tena anakugandia nini ?
Yaani sio waaminifu kabisa na hataki umuache, ukimpiga chini anaganda kinoma, atakufuata hata kazini kama anapajua. Mie huyo mkisii tulikutana kwenye mazingira ya kazi, alikuwa kaajiriwa na NGO moja hapa TZ, mimi nilikuwa nafanya kazi sehemu ambayo tulikuwa tunakutana na maafisa wa NGO yao mara kwa mara, kupitia hilo tukaanza mahusiano. Kwa kweli nakiri nilipata shida sana na yule mwanamke, na hawana aibu kabisa!
 
Tatizo hawanaga chura
 
Sifa kubwa ya general kwa wake wa Kenya ni kutwanga makonde waume zao na niwapenda pesa zaidi ya hata wachaga
 
Vumilia la muhimu ana wezere inatosha mengine kausha tu
 
Kama umempenda chukua maamuzi ya kiuanaume usisubiri kusikia kutoka kwa watu wengine.
 
Nimepitia hii thread kusema kweli wabongo mmetema sana nyongo kuhusu wakenya😁😁😁 Anyway Mimi nataka nikachukue mnyarwanda mmoja hivi, maana alinikubali sana nilipokutana nae safarini AU NA HUKO NAKO MATATIZO MATUPU nibaki na Wana nzengo we zangu hapahapa nchini
 
Hao wanamtindo ukimkosea akitumbukia huko kwao sahau kumwona pia huwa hawaachi watoto wao so kama utazaa nae akiondoka na mtoto jihesabie hujazaa nae kuna baadhi ya jamaa zangu wamesubili mpaka basi manzi mara yupo Mombasa mara nakuru mara Nairobi ila weka ndani uone jinsi wanakuaga aje maana mi nawajuanga kidogo waki treat their husbands
so huyo wako anaweza kuwa yupo different.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…