tatizo nyota. sura hata mbuzi anayo lakini je una hela/pesa?
tatizo nyota. sura hata mbuzi anayo lakini je una hela/pesa?
aisee kizazi hiki..eti kijana mzima unajisifia kuwa wewe ni handsome...aisee yaleyale ya akina richi mavoko kujichubua na kusema eti ameng'aa...sijui mna makamas kichwani?? ndo mana mitikiti maji imeongezeka mtaani....
unakumbuka siku moja kwenye uzi sijui wa siasa uliniponda sana Ukasema nabisha sana HUTANIOA???
nikajiuliza huyu tajiri mtoto ajaoaKUMBE NA UZI ULIWEKA?????
watakuja subiri,usikate tamaa
tatizo nyota. sura hata mbuzi anayo lakini je una hela/pesa?