Value
JF-Expert Member
- Jan 4, 2019
- 252
- 402
Salaam Jf!
Baada ya kuiona ripoti ya TFDA inayohusu mikoa inayoongoza kwa kujichubua, nimegundua kuwa mikoa ya kaskazini ina viwango vidogo sana vya matumizi ya kemikali hizi zinazoharibu ngozi. Mikoa hii iko chini ya 3% huku njombe na Mbeya wakiwa na viwango vikubwa sana vya wanawake wanaojichubua wakiwa ni asilimia 9, kwa 14.
Mikoa hii ya Manyara, Arusha na Kilimanjaro naipongeza sana kwa kuwa na kiwango kidogo sana cha matumizi ya kemikali hatari kwa ngozi na kuwafanya wanawake kuwa katika hali zao za asili. Aidha, Dodoma na Tanga nao wapo vizuri
Kwa Tanzania visiwani, nadhani kule ndio wanawake hawajali kabisa kuhusu kujichubua, hongereni sana!!
Mikoa mingine hii inatisha maana mingi iko 4% na kuendelea wakiongozwa na.kinara Mbeya na njombe
Baada ya kuiona ripoti ya TFDA inayohusu mikoa inayoongoza kwa kujichubua, nimegundua kuwa mikoa ya kaskazini ina viwango vidogo sana vya matumizi ya kemikali hizi zinazoharibu ngozi. Mikoa hii iko chini ya 3% huku njombe na Mbeya wakiwa na viwango vikubwa sana vya wanawake wanaojichubua wakiwa ni asilimia 9, kwa 14.
Mikoa hii ya Manyara, Arusha na Kilimanjaro naipongeza sana kwa kuwa na kiwango kidogo sana cha matumizi ya kemikali hatari kwa ngozi na kuwafanya wanawake kuwa katika hali zao za asili. Aidha, Dodoma na Tanga nao wapo vizuri
Kwa Tanzania visiwani, nadhani kule ndio wanawake hawajali kabisa kuhusu kujichubua, hongereni sana!!
Mikoa mingine hii inatisha maana mingi iko 4% na kuendelea wakiongozwa na.kinara Mbeya na njombe