Wanawake wa DARISALAMA hii hamuiwezi

Mmmh unawasema wanawake wa dsm wakat wanaume wenyew hawawezi.
 
Kuna dada yangu mtoto wa Baba mdogo alikuwa anajitwika DIABA la maji tena alikuwa binti tu kipindi hicho.

Tulimbatiza jina la "HAWAFU" kutokana na story ya kwenye kitabu cha kiswahili cha shule ya msingi.

Hawa, wanawake wa mjini wanashinda saluni na kukalia kuoshwa miguu na wanaume!

Sio wote wako hivyo, kuna wachache nimewashuhudia japokuwa ni wasomi wanapiga mzigo vizuri; Macho yangu nitayaelekeza huko.

Wapo pia wa mama wajasiriamali wanapiga mzigo kama huo mjini hapa, nenda Stereo sokoni Tandika, Kariakoo nk... Utawaona.
 
Dah wanaume wa Darisalama wana kazi mwaka huu ,uzi umewataja wanawake wa Darisalama naona maudhui yamebadilika kwenda kwa wanaume wa Darisalama
 
Maajabu ya urojo ni kwa marafiki zangu wapemba wala urojo lakini nyumba min watoto 9 Plus kazi za mikono nje lakini masanga ya 6 x 6 wanaweza How?
 
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…