Wanawake: Ukimpenda mwanaume mtongoze

Hakuna mwenye ujasiri huo humu jf, ajitokeze aanze na mimi nione kama anaweza, tatizo wengi wanaogopa eti ataonekana malaya au atadhalilika hapana ni haki yake maana kama umalaya basi sisi wanaume ni malaya kupitiliza maana ndio huwa tunatongoza sana. UJASIRI SI MCHEZO, AIBU KAWAIDA
 
Shida sio umalaya shida inakuja kuwa mwanamke anafundishwa kupenda je akikufuta na kukutongoza utakuwa tayari kujifunza ili umpende?
 

kwani shida iko wapi kumpa mwanaume hela ya matumizi emmyta
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…