Hakuna mwenye ujasiri huo humu jf, ajitokeze aanze na mimi nione kama anaweza, tatizo wengi wanaogopa eti ataonekana malaya au atadhalilika hapana ni haki yake maana kama umalaya basi sisi wanaume ni malaya kupitiliza maana ndio huwa tunatongoza sana. UJASIRI SI MCHEZO, AIBU KAWAIDA