Wanawake thibitisheni usemi huu

Wanawake thibitisheni usemi huu

Ni ukweli, hivi unajua unaweza ukawa ushahidi lakini umesingiziwa? Aisee mie sikuhukumu mpaka nipate kauli yako
Na usitegemee hata sikumoja kwamba atakiri , hata umkamate na ushahidi kias gani lakini still atakataa.
 
sijaelewa, unaamaanisha kuwa mwanamke anaweza kuckia jambo fulan ila asichukue maamuz hapohapo mpaka alifanyie uchunguz naathibishe ndio afanye maamuz au ndio aropoke? au nimekuelewa cvyo?
 
sijaelewa, unaamaanisha kuwa mwanamke anaweza kuckia jambo fulan ila asichukue maamuz hapohapo mpaka alifanyie uchunguz naathibishe ndio afanye maamuz au ndio aropoke? au nimekuelewa cvyo?
  1. Analisikia.
  2. Analifuatilia.
  3. Anapata ushahidi.
  4. Anasubiri ukiri au ukanushe.
 
Back
Top Bottom