Ryan The King
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 2,789
- 2,701
100000
So wewe nawe unaye mtext after being upset by your man? Nimekuuliza tuNi kweli, na hili jingine nathibitisha pia.... View attachment 417783
Nikiwa upset hata wewe nakutext tuSo wewe nawe unaye mtext after being upset by your man? Nimekuuliza tu
Mie tena?Nikiwa upset hata wewe nakutext tu
Hata wewe ndio au hautaki nikutxt?Mie tena?
Mie?.Hata wewe ndio au hautaki nikutxt?
Hahahahaha...inabd tuwe watulvu nao sasaNi kweli, na hili jingine nathibitisha pia.... View attachment 417783
HayaMie?.
Hapana aisee.
Kwanza hujui kiingereza, nani amekutafsiria?😀😀😀
Itaanza vita ya maji maji hapa
Nashukuru sana kwa kuniaminiNi ukweli, hivi unajua unaweza ukawa ushahidi lakini umesingiziwa? Aisee mie sikuhukumu mpaka nipate kauli yako
Nitafsirie mkuu kizunguzungu hichoKulikoni mpaka kizunguzungu?
Nikisema ukweli utanisamehe?Mimi napenda mana inakufanya ujue kama ni mwongo au la.
Kuna wakati unajua ukweli wote ila raha yake akuthibitishie mwenyewe na pale ndo huwa unagundua mtu wako ni mwongo kiasi gani.
Kuna wanaume hata ajue unajua alichokifanya bado atabisha mpaka mwisho.
Hawa ni kiboko aisee
Dah ama kwel nimepata mkalimani mpole naasiye namajivuno nashukuru sana sasa naweza kuchangia madaWanawake ni kama askari polisi, wanaweza kuwa na ushahidi wote ulimwenguni, lakini wakangoja kupata uthibitisho (toka kwako).