Bujibuji Simba Nyamaume
Platinum Member
- Feb 4, 2009
- 78,142
- 166,042
Unacheka kwa dharau mwenyewe, unamfikiria yule anaemuona kama mgambo![emoji2] [emoji3] [emoji3]
umeona ehhKweli Mkuu! Nikimuangalia "yule jamaa" naamini kabisa!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tofauti kati ya mwanamke Na mwanaume mwenye pesa ni moja tu.
Mwanaume akiwa Na pesa anakusanya lundo la wanawake.
Mwanamke akiwa Na pesa haja ya wanaume hupotea kabisa, yaani wanaume anawaona kama migambo tu.
Hao ndo wanawake, usikmbee wapate hela, watakunyanyasa Na kuudhalilisha Utu wako
Hahahaa ata kama umetania ukweli haupungui 57% hzo 43% ndio utaniIla kweli hata mm nikipataga kamshahara kangu nawaonaga kama ma'mbwa tuu
Hahhaha natania sipo hivyo[emoji12] [emoji12]
Hahahah ***** lazma akunyase nyase maana sababu anayoMwanamke mwenye pesa ana roho mbaya Zaid ya shetani,kama wewe ndie umemuoa af huna mchongo basi hesabu umeolewa rafiki maana ata papuchi utaipata kwa mgao
Usijifanye unatujua mkuu[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Hahahaa ata kama umetania ukweli haupungui 57% hzo 43% ndio utani