Wanawake sio watu wazuri

Bujibuji Simba Nyamaume

Platinum Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
78,142
Reaction score
166,042
Tofauti kati ya mwanamke Na mwanaume mwenye pesa ni moja tu.
Mwanaume akiwa Na pesa anakusanya lundo la wanawake.
Mwanamke akiwa Na pesa haja ya wanaume hupotea kabisa, yaani wanaume anawaona kama migambo tu.
Hao ndo wanawake, usikmbee wapate hela, watakunyanyasa Na kuudhalilisha Utu wako
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yeye ndyo anakuwa baba wa familia lazima cha moto ukionee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…