Evelyn Salt
Platinum Member
- Jan 5, 2012
- 77,671
- 167,734
Si kushika shikapo tu jamani, kwani vibaya 😛Unaanzaje kumtomasa tomasa mwenzako mkiwa safarini kwani hamtafika huko muendako?
Si kushika shikapo tu jamani, kwani vibaya 😛Unaanzaje kumtomasa tomasa mwenzako mkiwa safarini kwani hamtafika huko muendako?
Hahahaa kunawakati mood on..sio mbaya tahadhari tu mambo yasibadilike ajali ikatokeaUnaanzaje kumtomasa tomasa mwenzako mkiwa safarini kwani hamtafika huko muendako?
Sawa tutapunguza,lakini kudeka muhimu...Sio kukutomasa kabisa unakuta kamwanamke kanajifanya kabitozi eti kamechoka na safari kanakuwekea mkono.sometime anakuwa amekuwekea kwenye zakar kabisa na ni usiku unategemea mwanga wa taa. Punguzeni kudeka
ukiwa wewe unaendesha nakufanyia manjonjo hasa ukiwa umevaa kile ki skirt!Wanaume hua hawafanyi manjonjo?ni wanawake only?haya tumekusikia
Hua navaa overallukiwa wewe unaendesha nakufanyia manjonjo hasa ukiwa umevaa kile ki skirt!
Sawa tutapunguza,lakini kudeka muhimu...
Sawa tutapunguza,lakini kudeka muhimu...
Hahaha,kudekezwa raha sana,nyiee tuacheni bana tudeke..Hahaha eti kudeka muhimu. Huku nako ni kudeka kwingine
Hahaha,kudekezwa raha sana,nyiee tuacheni bana tudeke..
Teh,wewe mizinga imekuathiri sana...tupo kwenye kudeka umeshaingiza mizinga...Kama husumbui kupiga mizinga hovyo we deka tu. Mizinga inawafanya mnakuwa very extremely not sexy
Hahahaa, aibu nimeona mimi..Kuna jamaa mmoja pale kwenye round about ya mwenge kwenda kwenye vinyago,( from mwenge to ubungo) alikuwa anaendesha yupo na mdada. jamaa aligonga daladala alivyotoka kidudu kimesimama kama....
Si vibaya kwa Binti kumgusa gusa bwana wake wawapo kwenye Private ndinga (Gari binafsi). Ni jambo lisilozuilika, lakini lisipofanywa kwa tahadhari, laweza kuwa chanzo cha ajali.
Unakuta Gari iko highway, spidi ya juu. Taratiiiibu mchuchu/bitotoz unakugusagusa miguu, Mara mkono Mara shingo Mara mabega, Mara unakuinamia in the name of love a.k.a mahaba. Ghafla mzuka unakupanda unapoteza umakini kwenye sterling.
Ukimzuia anaona unamdis, ukimruhusu ndio hivyo tena roho mkononi. Ni sheedar.
Ladies please nawaomba mpunguze manjonjo hasa tukiwa behind the sterling. Japo tunayahitaji vilevile.
Mkono wa kushoto wa dereva hutumika kupima oil kama kawaidaWanaume hua hawafanyi manjonjo?ni wanawake only?haya tumekusikia
Nimekusoma mkuu, si unajua mambo ya smartphone tena!Yote ulosema ni kweli mabinti wafuate huo ushauri. Ila sterling =steering.