malimungu Member Joined Apr 8, 2019 Posts 96 Reaction score 95 Jul 9, 2019 #41 Equation x said: Mara nyingi wale wakubwa kuanzia 30+ hawasumbui Click to expand... Ukubwa dawa
Equation x JF-Expert Member Joined Sep 3, 2017 Posts 40,096 Reaction score 62,038 Jul 9, 2019 #42 Amanijua said: Umenikumbusha mbali sana mkuu!!! Kuna jamaa yangu yeye alishajiwekea maamuzi kwamba hawezi kutongoza mwanamke ambaye ni under 30 labda kwa bahati mbaya ama kwa kutojua age yake. Click to expand... Changamoto iliyopo kwa hawa huwa ni garama,mara nyingi wanaangalia mahitaji yao ya kimaisha..biashara,kazi n.k
Amanijua said: Umenikumbusha mbali sana mkuu!!! Kuna jamaa yangu yeye alishajiwekea maamuzi kwamba hawezi kutongoza mwanamke ambaye ni under 30 labda kwa bahati mbaya ama kwa kutojua age yake. Click to expand... Changamoto iliyopo kwa hawa huwa ni garama,mara nyingi wanaangalia mahitaji yao ya kimaisha..biashara,kazi n.k
Castle_Lite JF-Expert Member Joined Sep 10, 2016 Posts 4,505 Reaction score 9,964 Jul 10, 2019 #43 Sijawah pata mwanamke wa hivyo.. Maaana Kabla sijakufuata naangalia vishiria Kama nitakupata, Kama naona viashiria vinakinzana bas sikufuati.. Hivyo naepuka hiko sitak nataka.
Sijawah pata mwanamke wa hivyo.. Maaana Kabla sijakufuata naangalia vishiria Kama nitakupata, Kama naona viashiria vinakinzana bas sikufuati.. Hivyo naepuka hiko sitak nataka.