Wanawake njooni hapa !

Wanawake njooni hapa !

whitehorse

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2009
Posts
2,570
Reaction score
4,450
Hii ni maalum kwa wanawake tu!

Wanaume ni wachafu sana hawafui nguo zao za ndani huzirudia mara kwa mara na hii huwa sababu maradhi kama ya fungus kuwasumbua mara kwa mara. Kazi ya kufua ni yako wewe mwanamke hakikisha unafua nguo za ndani za mpenzi wako

Wanaume hawafui mataulo. Mara nyingi huwa yana harufu nzito. Wanaweza kutumia taulo hata mwezi mzima bila kulifua. Kazi ya kufua ni yako wewe mwanamke fua taulo za mpenzi wako.

Wanaume hawapigi mswaki wanapomaliza kula mlo wa usiku hivyo midomo yao hutoa harufu mbaya sana. Mkumbushe mpenzi wako kupiga mswaki kabla ya kulala

Wanaume hawaogi usiku. Hulala wakinuka jasho haswa ile mikoa ya baridi au wengine hata sehemu za joto. Mwanamke mkumbushe mpenzi wako kuoga walau kabla ya kulala

Wanaume hawafui soksi hali hii huwafanya miguu yao kuwa na harufu mbaya na kuleta kero kwa jamii, we mwanamke fua soksi za mpenzi wako

Wanaume hawanyoi nywele za sirini mara kwa mara zinapokuwa ndefu. Ewe Mwanamke hii ni kazi ya mikono yako mwenyewe. Mnyoe manywele ya huko mpenzi wako

Wanaume wengi hawapaki mafuta sehemu mbali mbali za miili yao. Sehemu kama makalioni na miguuni. Hii huwafanya ngozi za maoneo tajwa kuwa kavu na ngumu zilizozeeka. Sehemu za makalio huwa na vipelevipele na ngozi ya eneo hili huwa kama ganda la limao. Ewe mwanamke mpakae mafuta mpenzi wako makalioni na miguuni ili kusaidia uchakavu wa ngozi usiendelee

Wanaume hawatoi pesa hadi waombwe. Ewe mwanamke usiache jambo hili likupite hata dakika moja. Muombe pesa mpenzi wako mara kwa mara kadri iwezekanavyo.

bae9a9e6bb4bc4b544ff6b63a4b116b5.jpg


Kazi kwako mwanamke
 
Japo kuna kaukweli %chache nilicho gundua ni kuwa ww mwenyewe ni mchafu na sio wife material haiwezekani ww msafi kuacha kumfulia boy wako taulo swala la chupi sio ishu sana hata kama unazo 2 moja ukiwa umevaa nyingine iko inakauka Kwanza kiukweli tuna mambo mengi na yote ni sababu yenu tunadiliki hadi kujinyima hili tuwaudumie
 
Hii ni maalum kwa wanawake tu!

Wanaume ni wachafu sana hawafui nguo zao za ndani huzirudia mara kwa mara na hii huwa sababu maradhi kama ya fungus kuwasumbua mara kwa mara. Kazi ya kufua ni yako wewe mwanamke hakikisha unafua nguo za ndani za mpenzi wako

Wanaume hawafui mataulo. Mara nyingi huwa yana harufu nzito. Wanaweza kutumia taulo hata mwezi mzima bila kulifua. Kazi ya kufua ni yako wewe mwanamke fua taulo za mpenzi wako.

Wanaume hawapigi mswaki wanapomaliza kula mlo wa usiku hivyo midomo yao hutoa harufu mbaya sana. Mkumbushe mpenzi wako kupiga mswaki kabla ya kulala

Wanaume hawaogi usiku. Hulala wakinuka jasho haswa ile mikoa ya baridi au wengine hata sehemu za joto. Mwanamke mkumbushe mpenzi wako kuoga walau kabla ya kulala

Wanaume hawafui soksi hali hii huwafanya miguu yao kuwa na harufu mbaya na kuleta kero kwa jamii, we mwanamke fua soksi za mpenzi wako

Wanaume hawanyoi nywele za sirini mara kwa mara zinapokuwa ndefu. Ewe Mwanamke hii ni kazi ya mikono yako mwenyewe. Mnyoe manywele ya huko mpenzi wako

Wanaume wengi hawapaki mafuta sehemu mbali mbali za miili yao. Sehemu kama makalioni na miguuni. Hii huwafanya ngozi za maoneo tajwa kuwa kavu na ngumu zilizozeeka. Sehemu za makalio huwa na vipelevipele na ngozi ya eneo hili huwa kama ganda la limao. Ewe mwanamke mpakae mafuta mpenzi wako makalioni na miguuni ili kusaidia uchakavu wa ngozi usiendelee

Wanaume hawatoi pesa hadi waombwe. Ewe mwanamke usiache jambo hili likupite hata dakika moja. Muombe pesa mpenzi wako mara kwa mara kadri iwezekanavyo.

bae9a9e6bb4bc4b544ff6b63a4b116b5.jpg


Kazi kwako mwanamke
Ina maana sisi wanaume ni wachafu kiasi hiki???? Huu utafiti umefanyikia wapi? Umehusisha wanaume wangap? Na hao waliofanyiwa utafiti walipatikanaje??? Haiwezekani tuwe na sifa hasi zote hizo!!! Khaaaaaaaaaaaa
 
whitehorse please edit your post. Sio wanaume wote ni wachafu. Ni bahati mbaya kama wanaume uliokutana nao wako hivyo. Usijumuishe wengine ni wasafi na tunajitambua hatuhitaji kukumbushwa na mwanamke.

Huenda na yeye ni mchafu mchafu na ndo maana labda anakuwa anavutiwa na wanaume walio kama yeye kwenye hiyo idara ya uchafu.

Mambo ya ndege wafananao...
 
whitehorse please edit your post. Sio wanaume wote ni wachafu. Ni bahati mbaya kama wanaume uliokutana nao wako hivyo. Usijumuishe wengine ni wasafi na tunajitambua hatuhitaji kukumbushwa na mwanamke.
wanataka kutuletea shazi too much, pigo za kipaparazi
too much tantalila
tantalila thisss is too much!
 
Hiyo point ya mwisho nimeipenda, nimeinyaka vyema . Wangu amekamilika kila idara ila nitatilia mkazo hilo la mwishooo
 
Back
Top Bottom