Wanawake nimewanyoshea mikono

Wivu utakuua,kaa ukijua mwanamke na mungu huwa hawafanyi agano na masikini hata mara moja,saka pesa uwe karibu na mungu na mwanamke
 


Wivu wakusumbua
 
Yaani hiyo ndo dawa yao ila yeye alikuwa ananikomoa kweli mimi nikatumia plan B kuweza kumteketeza na kweli hiyo plan B ilizaa matunda mazuri hadi leo anaamini mimi ni bonge la play boy kama yeye alivyoonesha ukahaba wake kwangu.
Matunda ni pamoja na afya nzuri uliyonayo.
 
Tabia ya kubadilika haiko kwa wanawake tu, hata wanaume pia wanabadilika, mfumo wa maisha unasababisha mtu atafute sehemu iliyokua rahisi, huwezi kumwita mtu mbumbumbu kwa sababu mna maono tofauti
 
Wanaume wengine bwanaa! Mlipewa akili na maarifa ili muiongoze dunia badala yake mnatumia akili zenu kufanya mambo ya ajabu alafu mnajiona wajanjaaaa. Ipo siku mtajibu kwa Muumba wetu hizo akili alizowapa mlizitumiaje.
 
Wanaume wengine bwanaa! Mlipewa akili na maarifa ili muiongoze dunia badala yake mnatumia akili zenu kufanya mambo ya ajabu alafu mnajiona wajanjaaaa. Ipo siku mtajibu kwa Muumba wetu hizo akili alizowapa mlizitumiaje.
Duh ndo kutulaani au?
 
Wivu utakuua,kaa ukijua mwanamke na mungu huwa hawafanyi agano na masikini hata mara moja,saka pesa uwe karibu na mungu na mwanamke
jst wanna understand who is this mungu mentioned here? is it the real God or mungu is the name of the person.

Cause what I know our God is merciful God and He loves all the people regardless of their wealth.
 
jst wanna understand who is this mungu mentioned here? is it the real God or mungu is the name of the person.

Cause what I know our God is merciful God and He loves all the people regardless of their wealth.
Sawa mama nmekuelewa japo kwa shida
 
Bora tu unielewe ma dear na nimefurahi. Unajua Mungu hana mizaha kama wanadamu kwa hiyo tuchukue hatua kabla ya kuandika chochote.

be blessed.
Uko serious sana nimefurahishwa na wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…