katika pita pita zangu leo humu MMU leo, nimeona vitu vya kushangaza sana..... kuna wanawake wanasema wanavutiwa na wanaume wenye mishipa mikononi
, wengine nimeona wanapenda kufokewa
na hata mmoja nimeona anasema anataka mwanaume asiye na ndevu kabisa
.....
sasa kina dada naomba mcomment vitu vyoote mnavovitaka kutoka kwa wanaume; wanaume tuchukue notes, inaonekana kabisa pesa na nguvu za kiume havitoshi