We unaona hii inawezekana kweli?Kijana, ni kweli kabisa ulivosema, kama pia unapenda kufanya ivo kwa mwenza wako ila umeona ni risk sana bas fanya kununua vimfuko vile vyepesi sana hua madukan wanatumia kuwekea unga na sukari, nunua alafu kua unakata upande mmoja tuu kata hata pisi10 kwa mifuko mi5 maan mfuko mmoja unatoka vipande viwili, ukimaliza viweke pembeni karibu na kitanda ndo utakua unatumia kuweka juu ya uke wa mwenza wako kila ukihitaji kumfanyia oral sex bila madhara yoyote na mtaenjoy sana maana utaweza kufanya muda mrefu sana sababu haina kero yoyote na sensitivities ni ile ile kwa mwenza wako.
ILA HII NJIA TUMIA KWA MKE WAKO KIPENZ SI WENGINE MI TULIKAA TUKAAFIKIANA NA WIFE NDANI KUA TUIJARIBU NA TUKAPENDA ZAIDI MAANA NI SALAMA ila ukiifanya kwa hawa wengine wanaweza hisi labda wanakasoro kwenye sehem zao za uzazi kumbe ni hapana, kwaiyo watajiskia vibaya ila kwa wife mkiongea mkaelewana na mkajaribu utajua namaanisha nini.