Wanawake nawaomba msituonee huruma

Yeye ndio kaufanya kioo moyo wa mtu sasa siku akikipasua hicho kioo, huyo dada ataona bora moyo wake ulivyokuwa mbao..[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hahaha duuh mkuu upo vizuri
 
Sizani kama aya mambo yapo kwa binadamu wa kike wa sasa hivi.
 

Jamaa vp huyu
Tusaidiane kushangaa
 
Dhaaaa ww jamaaa hata
Kwa mkopo hufai
Kuwa mshenga dhaaaa
 
Nimeona thread bby unatisha mbayaaa.

Big up hun. I will always cherish and you know what.
 
Shilawadu shilawadu nawaona nawaona mnakula tu ubuyuuu!!!!
 
Kulia na kutoa machozi ni njia mpya ya kutongoza mwanamke, njia hii wanawake wengi hushindwa kuikataa atakupa tu papuchi!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…