Wanawake nawaheshimu kwa hili jambo

Wanawake nawaheshimu kwa hili jambo

View attachment 121356
Nikiona wanawake wakiwa na hii hali huwa nawahurumia sana sijui huwa wanapata shida lakini utashangaaa wanazurula kama nini wakati ukimwangalia anapata shida kweli ni zaidi ya kitambi kwa wanaume


mimi huwa nikiwaona hivyo halafu ni wasafi huku wametupia zile gauni zao fupi fupi i find them very sexy in did.........
 
Pole ndugu yangu hujui uliyendalo

Nani kakuambia kua mimba kwa mwanamke ni maradhi?
kwako unaona ni kitu kikubwa sana ila kwake ni kaeaida sna

Haimaanishi hapati tabu anapata kwani hata mume wake hupata tabu katika kutafuta risk ila mungu mtukufu kasema
"Siikalifishi nafsi ya mja kwa kitu chochote isipokua kwa kile ikiwezacho"
kwa hio mimba jambo la kawaida
 
Mkuu,umeoa? kama umeoa fuata ushauri unaotolewa mara kwa mara
wa wanaume kuwasindikiza wapenzi wao kliniki.Ukimaliza hapo hutarudi tena humu
kusema wamama/wadada wenye hali hiyo wanazurura.
Na kama hujaoa,jikalie kimya tu wakati ukifika utajua.
 
Kweli hawa binadamu ni wa kuwaheshimu sana, jamani mama zetu tuwaheshimu na kuwatunza bila wao leo tusingetembea vifua mbele tukijidai na kujiita majina tofauti ya kutupa sifa. Na ninyi dada zetu mjitunze ili mje kutuletea wadogo zetu wenye afya na muweze kuwalea kwenye maadili kwa ajili ya taifa letu!!!
 
Pole ndugu yangu hujui uliyendalo

Nani kakuambia kua mimba kwa mwanamke ni maradhi?
kwako unaona ni kitu kikubwa sana ila kwake ni kaeaida sna

Haimaanishi hapati tabu anapata kwani hata mume wake hupata tabu katika kutafuta risk ila mungu mtukufu kasema
"Siikalifishi nafsi ya mja kwa kitu chochote isipokua kwa kile ikiwezacho"
kwa hio mimba jambo la kawaida

Ni kweli kawaida kwa kuwa Mungu keshaumba hivyo. Lkn iyo ni hali ya mtihani kama mitihani mengine.

Kuna wengine tangia mimba inaingia hawawezi kula chochote wao wanacheza na drip tu.

Wengine vitandani tu, wakijishughulisha kdg tu mimba kwishnehi.

Apo kulala kwa shida, kutembea kwa shida. Ukiwa na njaa adhabu ukishiba balaa.

Bado wanaume wengine wakishaona wake zao wako ivo ndo wanazidi kuwaadhibu, hata imani hawana.

Cha muhimu ni kuomba subra na salama tu. Na Mungu ndo muweza wa yote.
 
View attachment 121356
Nikiona wanawake wakiwa na hii hali huwa nawahurumia sana sijui huwa wanapata shida lakini utashangaaa wanazurula kama nini wakati ukimwangalia anapata shida kweli ni zaidi ya kitambi kwa wanaume

aaaah wewe unashangaa kuzurura wengine kila mwaka wanakuwa na hicho kitambi sijui ndio wanafuata nyota nyekundu au ndio waume zao wanawivu
 
View attachment 121356
Nikiona wanawake wakiwa na hii hali huwa nawahurumia sana sijui huwa wanapata shida lakini utashangaaa wanazurula kama nini wakati ukimwangalia anapata shida kweli ni zaidi ya kitambi kwa wanaume

Nimemuuliza Mama mmoja mjamzito kwanini pregnant women wanapenda sana kuzurula/kutembea akasema mtu hawezi kukaa sehemu mmoja tu.Kuzunguka inaondoa msongo wa mawazo,pressure na vilevile kumfanya mjamzito ajione yuko sawa na watu wengine.
 
Kweli hawa binadamu ni wa kuwaheshimu sana, jamani mama zetu tuwaheshimu na kuwatunza bila wao leo tusingetembea vifua mbele tukijidai na kujiita majina tofauti ya kutupa sifa. Na ninyi dada zetu mjitunze ili mje kutuletea wadogo zetu wenye afya na muweze kuwalea kwenye maadili kwa ajili ya taifa letu!!!

Asante kwa ushauri
 
Back
Top Bottom