Wanawake, nani kawafundisha kudanga?

Wanawake, nani kawafundisha kudanga?

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
24,812
Reaction score
60,674
Now it's too much yaani unataka mchumba kweli unampata mtoto anatoka sehemu nzuri kwao wanajiweza baba ake ni kigogo au demu anajiweza anafanya kazi yake sehemu lakini bado demu atataka akudange.

Nani huyo aliyewaruhusu huu upumbavu kwamba kawadangeni wanaume? Hiyo style yenu me sikubali; sio kweli tena hamuoni hata aibu.

Au nasema uwongo wanaume wenzangu? Ni mimi peke yangu ndo nawapata wanaonigeuza mradi?

Siku hizi mpaka tunawaogopa wanawake kwa sababu unamtongoza hata siku mbili hazipiti kashaanza kupanga mashambulizi ya kukudanga. Mnasababisha mpaka wale wanawake wasio na hio tabia kukosa wanaume kwa sababu imefika muda wote tunawachukulia mpo hivyo.

Mnakera sana, ina maana hamuoni kama maisha magumu siku hizi?
 
Wanamna hiyo sio wa kuoa ni wa starehe tu,na wao pia wanajielewa..wanakupa huduma wewe unatoa pesa;ukiwa una stress unatafuta mmoja mnafanya matumizi maisha yanaendelea
 
Tatizo la wadangaji ni kuwa unapomuonyesha kuwa unalengo la kuoa, au umempenda kweli . Yeye ndio anaona ni mwanya wa kukukamua wallet yako.
Sasa sijui wanashindwa kutofautisha mtu anaetaka sex tu na anaetaka ndoa...?

Nilikuwa na wa hivyo, nilitaka kumuoa lakin everytime nikumuonyesha kumpenda napigwa mabomu ya vietnam. Ilibidi nimuweke pemben na nikampa makav yake kwa tabia yake mbovu.
Wanamna hiyo sio wa kuoa ni wa starehe tu,na wao pia wanajielewa..wanakupa huduma wewe unatoa pesa;ukiwa una stress unatafuta mmoja mnafanya matumizi maisha yanaendelea
 
Tatizo la wadangaji ni kuwa unapomuonyesha kuwa unalengo la kuoa, au umempenda kweli . Yeye ndio anaona ni mwanya wa kukukamua wallet yako.
Sasa sijui wanashindwa kutofautisha mtu anaetaka sex tu na anaetaka ndoa...?

Nilikuwa na wa hivyo, nilitaka kumuoa lakin everytime nikumuonyesha kumpenda napigwa mabomu ya vietnam. Ilibidi nimuweke pemben na nikampa makav yake kwa tabia yake mbovu.


Hlf kwa utafiti wangu mdogo, wanawake wengi wanaopiga mizinga wanatoka famillia masikini na walishaumizwa kimapenzi, so wanachukia wanaume Detective J Evelyn Salt Shunie
 
Ni kitendo cha kukodisha mwili utumiwe kingono kwa malipo ya pesa au kitu chichote chenye thamani.

Ni lugha inayoficha ukali wa neno ukahaba/ uchangudoa.
 
Now it's too much yaani unataka mchumba kweli unampata mtoto anatoka sehemu nzuri kwao wanajiweza baba ake ni kigogo au demu anajiweza anafanya kazi yake sehemu lakini bado demu atataka akudange..Nani huyo aliyewaruhusu huu upumbavu kwamba kawadangeni wanaume.hio style yenu me sikubali.sio kweli.tena hamuoni hata aibu.
au nasema uwongo wanaume wenzangu?au ni Mimi peke yangu ndo nawapata wanaonigeuza mradi?siku hizi mpaka tunawaogopa wanawake kwa sababu unamtongoza hata siku mbili hazipiti kashaanza kupanga mashambulizi ya kukudanga.mnasababisha mpaka wale wanawake wasio na hio tabia kukosa wanaume.kwa sababu imefika muda wote tunawachukulia mpo hivyo.mnakera Sana Ina maana hamuoni Kama maisha magumu Sa hivi.
Kudanga ndio kuomba pesa au ndio kitu gani tenaaa mkuu?
 
Back
Top Bottom