Wanawake na ushamba wa Online Dating

Wanawake na ushamba wa Online Dating

Kuna wanaume hamjielewi kabisa sio kila unayemuona katika dating application anahitaji ngono !! No ...wengine tupo kwa ajili ya kuchati na marafiki zetu

....HALAFU NIKUSAIDIE SASA HIVI HAKUNA MWANAMKE ALIYE RAHISI KAMA UNAVYODHANI

Halafu sio razima ndio maana mnatukanwa na kublack list hamjielewi hivyo visent vyenu tumia kumtumia mama yako !!


yaani unachat na rafiki kwenye dating site huo ushamba umeutoa wapi ndo maana mitandao ya kuchat ipo we utakuwa msu-kumaaa nini
 
Mi nna bahati ya kupata wazungu ila sasa tatizo nikiwatajia Utaifa wangu kuwa natokea Tanzania wananiblock sijuwi kwa nini.
 
Kuna wanaume hamjielewi kabisa sio kila unayemuona katika dating application anahitaji ngono !! No ...wengine tupo kwa ajili ya kuchati na marafiki zetu

....HALAFU NIKUSAIDIE SASA HIVI HAKUNA MWANAMKE ALIYE RAHISI KAMA UNAVYODHANI

Halafu sio razima ndio maana mnatukanwa na kublack list hamjielewi hivyo visent vyenu tumia kumtumia mama yako !!

Eti kuchat
Kupata vichekesho kama hivo unatuma meseji kwenda namba ipi??
 
Eti kuchat
Kupata vichekesho kama hivo unatuma meseji kwenda namba ipi??
Sasa mukimuchamba bila ya kumupa elimu si atabaki mulemule.

Dating site ni uwanja/eneo la kukutanisha wa Kike na wa Kiume, wengine kuona kama wanaweza kuishi pamoja, na site nyingine mnaenda moja kwa moja kwenye mada, unatajiwa dau, kama unamudu mnapanga makutano kisha yanayofuata yanawafurahisha.

So uki sub scribe huko maana yake upo sokoni, kwa kuwinda au kuwindwa.
 
Mkuu,kule Badoo usilete mbwembwe za kutongoza.

Ngoja nikufundishe.
1: Salimia
2: Akijibu salamu,uliza anapoishi (turn on location kwa uwezekano wa kupata walio Karibu)
3: Uliza Kama anapatikana ( wengine sio wa kujiuza)
4:Uliza bei zake ( Kawaida au 0714)
5: Omba namba ya simu
6: Mpigie Kisha anza upya kupanga nae Bei ( huwa wanaanza na bei kubwaa
7.....…........
 
Back
Top Bottom