The Businessman
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 7,397
- 9,263
Post deleted by author!
hawa mabinti ni kwa nini kabla hawajazaa matiti yao huwa hawataki
kutuonesha tuyaone
naomba kujuzwa hasa hawa mabinti ni kwa nini kabla hawajazaa matiti yao huwa hawataki kutuonesha tuyaone ila wakisha zaa utaona anatoa mbele za watu anaanza kumyonyesha mtoto, je ina maana wakisha zaa matiti yao hayana thaman tena? tujuzane jamani
Kwikwikwi baadhi ya wanawake siku hizi wanatamani kuyaacha wazi kabisa ila wanashindwa tu.maana nguo wanazovaa na na sidiria za kubidua titi huacha wazi kabisa
unapita unakwenda wapi barabara zote zimefungua coz baba yake na Rz1 anapita mda simrefunapita tu
Haa haa,maghorofa na magar,unafanananisha na matiti?Mleta mada usiishi kwa kukariri.
Kwani vyote vinavyoonekana havina thamani?
Magari,magorofa nayo je?
Mleta mada usiishi kwa kukariri.
Kwani vyote vinavyoonekana havina thamani?
Magari,magorofa nayo je?
Haa haa,maghorofa na magar,unafanananisha na matiti?
Makubwa!matiti yameshakuwa sehemu ya jukwaa la kisiasa siku hizi?