Wanawake na matiti yao...


hahahaha jana ulionja Chungu ya bibi yaan hapo ndo ujifunze kuachana na mambo yasiyokuhusu,unadhan wengine hatuyaoni??,tunayaona tunaacha,hata mimi jana niko kwenye daladala nimekaa na dada ambaye alikua akimnyonyesha mwanae,ila kwakua halinihusu nikamuacha,na si mara 1 mdau
 
Last edited by a moderator:
Hahahahahhh mzee wa chungu cha bibi mtu mzima ilikuwa mdadi umekupanda nn hata ukapigwa msonyo labda alihisi unataka kunyonya na wewe unajua kaka hukufanya vby kumwambia ila ndio tatizo la wanawake wa ki tanzania na si waafrika wanatabia mbaya wanaona wakizaa na kunyonyesha thamani imeshuka ndio ishu yenyewe ilivo
 
Hahahahahahahah ningastuka wewe hali ilibadilika kuwa mbayaee sio!!
 
Na kuna Wanawake Wamejaaliwa akitoa ziwa kumnyonyesha mtoto ziwa limejaaa zuriii ki ukweli si vema tutembeege na Mitandio hata ya Madera ile , Mwanamke Stara Jamani ......:thinking:
 
utamaduni unabadilika lakini mbona hatuvai magome ya miti.kwanini asijifunike na kanga

Nakubali utamaduni unabadilika tuna move forward na positive things vingine tunaacha. Breast feeding ni kitu muhimu. Perception ya kuangalia maziwa kwa mwafrika haiwezi kuwa sawa na jamii zingine hasa wakati wa kunyonyesha mtoto!
 
Ki ustaarabu ukinyonyesha vizuri ufunike, ukiwa nyumbani kwako unaweza kujiachia.
 
Hqpo umeona titi, je ukioneshwa mshundundu si ndio ungezirai ndani ya daladala kwa mfadhaiko...
 

Sasa ulijuaje ni msonyo?
 
Jamani hivi shule bado hazijafunguliwa?hii thread kama ya mwanafunzi ambae hana majukumu na hajui uzuri wa familia.
 
Mimi napenda sana nikiona mwanamke anamnyonyesha mtoto.

Biologically ni kosa kumfunika mtoto wakati wa kumnyonyesha maana hataweza kupata hewa ya kutosha.

Kama wewe una tabia ya kumfunika mtoto na mtandio au na nguo yoyote ile unapaswa kuacha mara moja.

Na ukiona mtu anapata hisia kwa kumuona mwanamke anayemnyonyesha mtoto jua fika kwamba ana matatizo ya akili na mtu kama huyo anaweza kupata hisia hata akimuona mtoto mdogo akiwa uchi.
 
sioni shida mama akimshika mtoto wake vizuri na kuanza kumnyonyesha kwenye daladala. Mimi huwa nawasaidia kubeba na mizigo mingine ili isiwatinge wakiwa kwenye kazi hiyo. kinachonikera ni pale tu mama anapokuwa amemshika mtoto wake hovyo hovyo na kuanza kumnyonyesha. Ukiona mtoto analilia kunyonya maana yake njaa inamuuma. kumfunika pia kuna umuhimu wake lakini ukifuatilia sana starehe ya mtoto ni pale anaponyonya huku anauona uso wa mama yake.
 
Hahahaaaa, kwa hiyo jamaa anamwambia mwanamke amnyonyeshe mtoto ili aone matiti?
 
Tamaa mmeziweka mbele sana, mtakuja kutamani hata mama zenu, dada zenu na ndugu zenu, heeee, dar na joto hili umfunike mtoto na mnguo eti kuna mtu mzima anawaka tamaa ya mama anayenyonyesha, aibu yetu kama taifa
 
huhuhuuuu mtuache na matiti yetu
 
matiti ndio unalia ....tena mtoto ana nyonya....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…