Wanawake na kucha zetu

Wanawake na kucha zetu

mamsapkhan

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2014
Posts
843
Reaction score
267
Hbr kwa ujumla nimeona nililete kwa wanawake ili tuongez umakin kucha ni urembo mzur lkn pia unamadhara hasa wkt wa kujisafisha sehem nyet endapo utaingiza kidole na kwa bahat mbaya ukaleta mchubuko ni htr sana hili limemtokea dada mmoja ambae anauguza kidonda ambacho kimesababishwa na kucha tuwe makin sehem za sir huwa ni lain sana
 
dada mmoja? akakueleza anauguza kidonda cha k?
au ni wewe mwenyewe?
 
Kwani huko mnaingiza vidole, sijui kucha kutoa nini?????? mmmmhh!!!!!! kwel kansa nyingine tunajiletea wenyewe.
 
wanaume wanakuwa na kakucha kamoja ama vivili virefu hadi vinapinda n. Kucha ndefu kwa wanawake uaziona kwa wanaoekti picha za love na kwa wanaume shoga au basha
 
Wengine wanakera kinoma mikucha mirefu ukimuuliza anakwambia ni urembo afu rangi alizopaka kama upinde wa mvua

Duka La Madawa Kuna WOMEN SELF-CLEANER inatumika kusafishia kule kunako bila kujiingiza mikucha
 
Utalikuta janamke limefuga kucha ndefuu kama jini ss angalia mirangi aliyoipaka utazani likahaba kila kucha na rangi yake
 
Duka La Madawa Kuna WOMEN SELF-CLEANER inatumika kusafishia kule kunako bila kujiingiza mikucha

Lkn pia tuna ambiwa tuwe makin na dawa au sabun kutumia sehemu za sir tunauwa wadudu wanao linda sehemu hz
 
Mambo mengine kweli yapite tu acha niitwe mshamba, mwanamke how do you clean yourself 'down there' with super long nails?!
Sehemu za sir hakutak sababu kabisa maradh mengi mm ht lotion ya kawaida ikigusa tu naogopa sana tunashinda tunasikia mengi mungu atusaidie
 
  • Thanks
Reactions: kui
Hbr kwa ujumla nimeona nililete kwa wanawake ili tuongez umakin kucha ni urembo mzur lkn pia unamadhara hasa wkt wa kujisafisha sehem nyet endapo utaingiza kidole na kwa bahat mbaya ukaleta mchubuko ni htr sana hili limemtokea dada mmoja ambae anauguza kidonda ambacho kimesababishwa na kucha tuwe makin sehem za sir huwa ni lain sana

mpe pole zake sana kwa kuuguza hicho kidonda chake cha pili baada ya kile kidonda chake ndugu ( kisichopona ). hivi umeshajiuliza ni kwanini dada na mademu zetu siku hizi mbunye zao haziko mbali sana kwa kunuka kama dampo la pugu?
jibu ni hiyo mikucha yao mirefu kwani anakuwa anashindwa kufanya juma nyosso kwa elias maguri a.k.a kujitia ndole.
 
mpe pole zake sana kwa kuuguza hicho kidonda chake cha pili baada ya kile kidonda chake ndugu ( kisichopona ). hivi umeshajiuliza ni kwanini dada na mademu zetu siku hizi mbunye zao haziko mbali sana kwa kunuka kama dampo la pugu?
jibu ni hiyo mikucha yao mirefu kwani anakuwa anashindwa kufanya juma nyosso kwa elias maguri a.k.a kujitia ndole.

Ni kweli kucha co nzur
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom