Wanawake na hofu ya kusaidiwa na nyumba ndogo

Naona nimeparamia post ya watu si unajua ugeni tena. Ila na sisi vimada tunafua Paulina . Ndicho nilichotaka kukwambia sasa sijujajua kutumia JF vizuri.[/QUOTE

mnh ngumu kuamini wewe sio Nyumba Kubwa...mbona umeedit original post yako,mwenzio tayari nilikuwa nishakuquote lol:A S-coffee:
 
mapenzi sio mashindano...ila mapenzi pia si utumwa kama wote mko in love then mtakuwa rensponsible kwa mambo yenu huyu akishika hiki,mwingine atashika kile ili siku ziende......
sidhani kama ni wajibu wa mke kuhakikisha mumewe anakuwa smart all the times,ni wajibu wa mume kufanya hivyo....na mke pia yuko rensponsible kwa usmartness wake sio wajibu wa mume...tusibebeshane mizigo!

unajua mabadiliko mengi ya mume yanaanzia kwa mke, eg mie wakati naolewa nilikuwa cpendi mr alivyokuwa na ma boxer ya rangi rangi, napendelea white, nilimbadili mpaka leo hata yeye akienda kushop hawezi kununua tena za marangi rangi, lazima white, na mind u hatufanyi hayo yote tukihofia nyumba ndogo kutusaidia mie nafanya kama wajibu wangu kwa mume wangu, namfulia/mpikia etc, unaweza ucmfanyie yote hayo na bado akawa na hizo nyumba ndogo, kuwa na nyumba ndogo ni hulka zao tu but hazitufanyi wake tuwe na hofu/kufanya hiki na kile tukihofia nyumba ndogo, mie nafanya coz ni wajibu wangu kama mke.
 
nimegundua hili ni tatizo la wanawake wengi,wanakuwa kwenye mahusiano kimachale machale saa yoyote mumewe anaweza kuwa na nyumba ndogo.....hofu hii imepelekea kuwafanya kuwa watumwa wa ndoa zao,atajitahidi amtreat mumewe kama mfalme/bossi lol,atamfulia,atamnyooshea nguo,atajitahidi awe anaamka mapema amtengenezee chai.........akihofia asipofanya haya mumewe ataenda nyumba ndogo.............................wakina kaka kuweni rensponsible kidogo...chochote unachoona kiko kny uwezo wako kifanye!!!.........................usitafute kisingizio cha kuwa lazy ili uvunje nyumba yako.............ukimwi unaua,sijui niko too westernized ila bado sijamfulia na kunyooshea mtu mzima nguo:smash::smash::smash: hata kupika nitajitahidi kumshirikisha na yeye alternative days...lol
mpaka hapo hufai kuitwa MKE....!na aliyekuoa most likely anachapa nje
 
Ndoa ni upendo, kuheshimiana na kila mmoja kumjali mwenzie na taratibu zenu wenyewe za ndani ya nyumba kama hamlazimishani bali mnafanya kwa upendo hakuna shida, haijalish ni nani anafanya kwa mwenzie. Hakuna mashindano.

Ni hayo tu
 
Nyamayao umesema ukweli kabisa. Sidhani kama kuna mtu anafulia mume boxer ili asitoke nje ya ndoa bali ni upendo na kwa wengine labda walifundwa kufanya hivyo (mimi sijaambiwa na mtu yeyote ila nafanya). Unajua zoezi la kufua uanza from the time mtu anapoolewa. Na sidhani kama mtu unapoolewa unakuwa unawaza kuwa kuna kitu kama kuwa cheated. Kwa hiyo wanaobeza kuwa unafua ili mumeo asitoke nje ni wanataka kukatishana tamaa tu. Kwani kama ulikuwa hufui from day one huwezi kuanza kufua kisa umesikia mume ana nyumba ndogo. Sana sana ukisikia kuna mwenzio ndio siku hiyo utakapo tamanni kusema sifui tena.

unajua mabadiliko mengi ya mume yanaanzia kwa mke, eg mie wakati naolewa nilikuwa cpendi mr alivyokuwa na ma boxer ya rangi rangi, napendelea white, nilimbadili mpaka leo hata yeye akienda kushop hawezi kununua tena za marangi rangi, lazima white, na mind u hatufanyi hayo yote tukihofia nyumba ndogo kutusaidia mie nafanya kama wajibu wangu kwa mume wangu, namfulia/mpikia etc, unaweza ucmfanyie yote hayo na bado akawa na hizo nyumba ndogo, kuwa na nyumba ndogo ni hulka zao tu but hazitufanyi wake tuwe na hofu/kufanya hiki na kile tukihofia nyumba ndogo, mie nafanya coz ni wajibu wangu kama mke.
 
Nyumbani kwangu ni marufuku kufua chupi sijuhi boxers kutumia machine kwa sababu nina watoto wadogo na siamini sabuni zinaua wadudu wote. Naona vibaya kufua nguo za wanangu kwenye machine inayofua chupi za watu wazima. And mind you kuna other family members kama h/girls ambao wakiona unafua chupi kwa machine they will do the same kama wana magonjwa yao uoni kuwa ni hatatri kwa watoto.

Samahani dada,kwani boxers na chupi hazifuliwi na mashine?...au mapenzi?
 
nimegundua hili ni tatizo la wanawake wengi,wanakuwa kwenye mahusiano kimachale machale saa yoyote mumewe anaweza kuwa na nyumba ndogo.....hofu hii imepelekea kuwafanya kuwa watumwa wa ndoa zao,atajitahidi amtreat mumewe kama mfalme/bossi lol,atamfulia,atamnyooshea nguo,atajitahidi awe anaamka mapema amtengenezee chai.........akihofia asipofanya haya mumewe ataenda nyumba ndogo.............................wakina kaka kuweni rensponsible kidogo...chochote unachoona kiko kny uwezo wako kifanye!!!.........................usitafute kisingizio cha kuwa lazy ili uvunje nyumba yako.............ukimwi unaua,sijui niko too westernized ila bado sijamfulia na kunyooshea mtu mzima nguo:smash::smash::smash: hata kupika nitajitahidi kumshirikisha na yeye alternative days...lol


Pauline hivi vionjo vya kiwestern, hebu mviache huko,
sisi huku kwetu kwenye ngozi nyeusi hatujafundwa kiivyo bana,
hebu siku zote tuishi kama tulivyo,
na sio kama walivyo.......................................
 
Nyumbani kwangu ni marufuku kufua chupi sijuhi boxers kutumia machine kwa sababu nina watoto wadogo na siamini sabuni zinaua wadudu wote. Naona vibaya kufua nguo za wanangu kwenye machine inayofua chupi za watu wazima. And mind you kuna other family members kama h/girls ambao wakiona unafua chupi kwa machine they will do the same kama wana magonjwa yao uoni kuwa ni hatatri kwa watoto.
Tumia dettol mamii kila unapokuwa unafua nguo za watoto, hata kama ni kwa mkono si unajua tena?
 
Tabu ya nini na kuingia gharama. Una uhakika dettol inaweza kuua wadudu wa gonorea? Maana tunaishi na watu ambao hatujapima afya zao. I feel safe zaidi kutokufua vyupi kwenye machine. Na kwa kuwa uwa naziiloweka week end sioni tabu kuzifikicha.

Tumia dettol mamii kila unapokuwa unafua nguo za watoto, hata kama ni kwa mkono si unajua tena?
 
Ukiingia JF unaweza kufikiri ndoa ni ngumu sana...kuna watu humu ndani (majina kapuni) wana haribu uzuri wa ndoa kwa kuletea mambo tu yakufikirika...

Kuna haja ya kuwa selective post zipi za kusoma na kuacha ili kutukupata picha mbaya ya ndoa ambayo Mungu amekusudia iwe ya upendo na furaha..
 
Haya mambo ya haki sawa kwa mwanamke,chanzo chake sijui kama unakijua Pauline,nina imani kama unakijua usingekuwa unasaport,lakini pia kama hilo ni jina lako kweli ina maana wewe ni mkristo na unamuamini Mungu na biblia hakosei,kama hujui Mungu kuwa alishapanga majukumu nenda kasome biblia,kama hujui sehemu ya kusoma niambie nitakuonesha,unless u dont belive God exist!Apart from that unafikiri ni kwanini wewe upo tofauti kimaumbile?Ninayo mengi ya kukusaidia nakusubiri nione msimamo wako kisha nijue kama unataka kujua nani alianzisha mambo ya Women right,belive me utashangaa!
 
na yeye huwa anakufulia au yeye hakupendi kuliko maelezo??:smow:

Hapo sasa..yani mapenzi kuliko maelezo yawe one sided tu? mweeh! mtafua boxers mpaka mikono ikomae, never kabisa..hata kama nina upendo uliozidi maelezo!!..

I still believe ndoa ni kitu kizuri inategemea na unayekutana na mtu katika hiyo ndoa..
 
Mapenzi hayana sheria,ukiingiza sheria lazima ukwame tu.Kwenye upendo wa kweli hakuna utumwa mambo yanaenda automatic tu na kila mmoja anafurahia,ukifanya kitu kama sheria kufua,kupika etc wakati moyo wako unasema like bado sijamfulia au kumnyooshea mtu mzima bado hujawahi kupenda/kupendwa.Na nyumba ndogo sababu sio kufanya au koto fanya,wanaume huwa wanatumia hiyo excuse kama loophole tu. hiyo kitu ni tabia binafsi ya mtu.
 
Haya ni mawazo pevu, mawazo ya kikubwa, nakushukuru sana. Mazingira ya west na hapa kwetu tofauti kabisa. West mama hana nafasi ya kufanya kazi za nyumbani amebanwa kama alivyobanwa baba, kwa hiyo kusaidiana ktk kazi ndogondogo ya home ni sawa. Hapa kwetu hatujabanwa kihivyo, sisemi eti baba asifue, mbona tunafua jamani. westernization tusipoangalia itatufikisha pabaya.


Hapo niliweka red - pamoja na kuwa tunaposema "hapa kwetu" ni general term kwani "KWETU" pana miji mingi - lakini kama tunaongelea "DAR CITY" - kama mama ni mfanyakazi na baba ni mfanya kazi - TUMEBANWA PIA - na hizi foleni za Dar mnatoka wote asubuhi mapema na kurudi late jioni - weekend - saturdays ndio mko free wote (kama hamwendi kazini) HAPO NDIPO BA KUSAIDIANA JAMANI ...............HATA KAMA UNA HOUSE MAID AU HOUSE BOY - kuna shughuli zinazopaswa kufanywa na nyie wana ndoa ..........................ndio muda wa kuwa na watoto - kupika chakula kitamu - kuona kuwa nguo ni safi, makabati yamepangwa - achilia mbali usafi wa mazingira ya nyumba yenu - SASA MAMA PEKE YAKO UTAWEZA?? MKISAIDIANA NA MUMEO SIO NDIO SAWA?

No wonder unamkuta WIFE kesha-ota wrinckles kwa mchoko - wakati HUSBAND anaoneka bado mbichiiiiii - TOO MUCH WORK IS HARMFUL - HAKUNA MTU ASIYEHITAJI KUPUMZIKA ....................LAKINI KAMA MTU UNAONA MUME NI KAMA FIRST BORN WAKO (MTOTO) BASI ..................UNAMENYEKA - IKIFIKA JIONI UKO HOI - NAYEYE ANAKUAMBIA NATOKA KIDOGO .................

MAISHA NI KUPANGA - NA KUPANGA NI KUCHAGUA.:decision:
 
[/COLOR]

Hapo niliweka red - pamoja na kuwa tunaposema "hapa kwetu" ni general term kwani "KWETU" pana miji mingi - lakini kama tunaongelea "DAR CITY" - kama mama ni mfanyakazi na baba ni mfanya kazi - TUMEBANWA PIA - na hizi foleni za Dar mnatoka wote asubuhi mapema na kurudi late jioni - weekend - saturdays ndio mko free wote (kama hamwendi kazini) HAPO NDIPO BA KUSAIDIANA JAMANI ...............HATA KAMA UNA HOUSE MAID AU HOUSE BOY - kuna shughuli zinazopaswa kufanywa na nyie wana ndoa ..........................ndio muda wa kuwa na watoto - kupika chakula kitamu - kuona kuwa nguo ni safi, makabati yamepangwa - achilia mbali usafi wa mazingira ya nyumba yenu - SASA MAMA PEKE YAKO UTAWEZA?? MKISAIDIANA NA MUMEO SIO NDIO SAWA?

No wonder unamkuta WIFE kesha-ota wrinckles kwa mchoko - wakati HUSBAND anaoneka bado mbichiiiiii - TOO MUCH WORK IS HARMFUL - HAKUNA MTU ASIYEHITAJI KUPUMZIKA ....................LAKINI KAMA MTU UNAONA MUME NI KAMA FIRST BORN WAKO (MTOTO) BASI ..................UNAMENYEKA - IKIFIKA JIONI UKO HOI - NAYEYE ANAKUAMBIA NATOKA KIDOGO .................

MAISHA NI KUPANGA - NA KUPANGA NI KUCHAGUA.:decision:


kweli ndoa ni ngumu sana!!!!!
kwa style hii kupata mwanamke wa kuoa,
nadhani ni mpaka ukatambike lol....
 
Mke na mme ni kitu kimoja na ni mwili mmoja ni wajibu wa kila mtu walioko kwenye ndoa kumfanyia mwenzake mambo mazuri mi nafikiria katika shughuli za nyumbani kwenu hamna shughuli za mama na za baba.wote mkisaidiana kufanya kila kitu mtaishi kwa furaha na amani kuogopa nyumba ndogo hapo sidhani kama mtu ni wa kuwa na nyumba ndogo hata umfanyie nini ataenda tuu cha msingi muwe familia ya MAOMBI
 
Wapendwa, nimeipenda thread hii... nilitamani pia kusikia wanaume wao wanasemaje ( i wish kama ningetambua ME/KE) ktk hayo majibu.

Kwa utamaduni wa kiafrika wanaume wengi wamekua ktk mazingira ya kutokufanya kazi za nyumbani, mfano hata vijijini mwaenda shule mkirudi wa kike atapika, osha vyombo, deki n.k. But wa kiume tena akipenda au umbembeleze atakusaidia kupasua kuni au kuchota maji otherwise huwa wanaenda piga story na wenzao. Hili limewafanya wengi wao wakue katika misingi hiyo. Ingawa wapo baadhi wamelelewa ktk misingi tofauti kwamba hakuna kazi ya kike wala ya kiume... Dada Pauline ungekutana na huyu hope wewe ungechekelea saaaaaaana....they are very smart. Wanajua kupika, wanajipenda (wasafi) n.k. Myself napenda kusaidiwa but vile vitu vdogo vdogo sana hasa pale napokuwa nimezidiwa na shughuli it sound good, tena akinisaidia mwenyewe bila kumwomba kwa kweli nafarijika sana.
 
lol...i loved the topic. What i think kila mtu anajua jinsi ya kuhandle relationship. you know what?? human beings are complecated beings...atakalolifanya huyu kufanya ndoa yake idumu na ikadumu just 4 that...yawezekana kwa asilimia 100 isifanye kazi kwako.. sasa, kinachotakiwa fanya lile unalodhani litafanya ndoa yako idumu bila kujali nani kafanya nini kwa sababu gani....tchao
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom